Mpira, Rushwa na Siasa: Kales Karia wa TFF atakamatwa muda wowote, labda asikanyage Misri

Mpira, Rushwa na Siasa: Kales Karia wa TFF atakamatwa muda wowote, labda asikanyage Misri

Makada wa CCM wamezoea rushwa. Wamekula sana rushwa nchini sasa wameamua ku-export uzoefu wa kula rushwa hadi nje ya nchi, ona sasa wamemnasa huyu nzi wa kijani kama samaki kwenye ndoano. Nyambafu Wafaransa lazima wamtie kwenye 18 huyo Msomali
 
Kwa hapa nchini huyo jamaa yupo na mba mbili kwenye list ya watu ninaowachukia
 
Asipoenda huko Misri itakuaje? Kwani hawana uwezo wa kumkamata akiwa hapa nchini?
 
Kufuatia kukamatwa hapo jana kwa Rais wa Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), Bwn. Ahmad Ahmad raia wa Madagascar, kuna kila ishara kuwa watakaofuatia katika kamata kamata hiyo ni Marais wa Mashirikisho ya Soka Tanzania(TFF), Bwana Wales Karia ambaye pia ni mwanachama mkubalifu wa CCM, pamoja na mwenzake wa Cape Verde kwa sababu ni mashahidi muhimu na watuhumiwa wa moja kwa moja wanaotajwa katika kashfa hiyo ya mlungula na kutakatisha fedha - inawezekana hata Waziri Mwakyembe pia akatumbukia mle mle - labda wasikanyage Misri kwenye mashindano ya AFCON.

Bwana Ahmad anatajwa kumwelekeza aliyekuwa Katibu Mkuu wa CAF Bwn. Amr Fahmy kufanya malipo yasiyo halali ya dola za Marekani 20,000 kwa kila mmoja wa Marais wa Soka wa Tanzania na Cape Verde, Bwn.Fahmy aliamua kutoa taarifa ya suala hilo FIFA na ndipo alipofukuzwa kazi haraka haraka na Bwn.Ahmad.

Sasa mamlaka za kipolisi Ufarasa zimemtia pingu Bwn.Ahmad, wanatafutwa sasa waliopokea mlungula huo wa dola 20,000, Bwn.Wales Karia mwanachama mkubalifu wa CCM, pamoja na mwenzake wa Cape Verde, na wote walionufaika na mgawo huo(seemingly Mawaziri wa Michezo wa nchi husika).

Not long ago watu tulio na akili zetu tulishangaa mno motive ya Bwn.Karia kum-attack wazi wazi Kaka yetu Tundu Lissu kwenye Mkutano usio wa siasa wa TFF, kumbe mwenzetu alijua ana kimeo kinamnyemelea na alianza kupiga yowe hata kabla Polisi hawajagonga mlango wake ili apate msaada wa serikali inayokumbatia mafisadi ya hicho chama chake...Muda ni mwalimu mzuri sana!
View attachment 1120679
Naona umekazia hpo kwenye mwanachama mkubalifu wa..... Kumbe ishu inamhusu yeye na njaa zake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unamshangaa Karia kwa kuleta siasa kwenye mkutano usio wa kisiasa lakini hapo hapo na wewe unaleta siasa kwenye mada isiyo ya kisiasa.
 
Wamekali kupanga ushindi kwa simba na yanga tu!!! acha ile kwao😁😁😁😁😁😁
 
Ukicheki fainal game ya Caf Champions league utagundua mengi sana yaani hadi rais anaingia uwanjani kutatua mgogoro wa VAR yaani sisi tumelaaniwa na nani jamani duuh ni hatari sana. Wakamatwe tu maana nasikia hata marafiki zake wale wengine wamekutwa na skandali kama hiyo na wengine wako nyuma ya nondo.
 
Unamshangaa Karia kwa kuleta siasa kwenye mkutano usio wa kisiasa lakini hapo hapo na wewe unaleta siasa kwenye mada isiyo ya kisiasa.
hakuna Shida mkuu kwani ile barua ya chadema kwa FIFA kuhusu Karia kuingiza siasa kwenye michezo ilishafika FIFA?
 
Back
Top Bottom