Mpira sio mchezo wa kiungwana. Nimeacha rasmi kushabikia timu yoyote kutoka Ulaya!

Mpira sio mchezo wa kiungwana. Nimeacha rasmi kushabikia timu yoyote kutoka Ulaya!

Ally maganga

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2014
Posts
1,433
Reaction score
913
Hii usemi wa fair play kwenye upande wa soccer naona si mahala pake.

Ebu tazama wachezaji wanavunjana tena kwa makusudi kabisa na huku refa akitoa mijicho yake tu.

Hivi kuna umuhimu gani wa kuendelea kutumia maneno Fair play wakati wachezaji hawapo fair?

Nimeumia sana leo mpaka nimeuchukia mchezo wa soccer.

Kwasababu zangu binafsi kuanzia leo sitoshabikia timu yoyote kutoka Ulaya.
Kwenye kombe la dunia timu zangu tano ni
1. Argentina
2.Brazil
3.timu zote za africa
4.Japan
5.Saudi Arabia

Kabla ya leo zilikuwa
1.Spain
2.Argentina
3.Belgium
4.Egypt
5.France

Soccer ni vita.
 
Hii usemi wa fair play kwenye upande wa soccer naona si mahala pake.

Ebu tazama wachezaji wanavunjana tena kwa makusudi kabisa na huku refa akitoa mijicho yake tu.

Hivi kuna umuhimu gani wa kuendelea kutumia maneno Fair play wakati wachezaji hawapo fair?

Nimeumia sana leo mpaka nimeuchukia mchezo wa soccer.


Walioharibu Mpira

1. Ramos, hovyo sana huyu jamaa

2. Refa kufumbia macho uuwaji wa Ramos, kamuumiza Sala makusudi

3. Golikipa wa Liverpool, magoli mawili kawazawadia Real Madrid
 
Kwasababu zangu binafsi kuanzia leo sitoshabikia timu yoyote kutoka Ulaya.

Kwenye kombe la dunia timu zangu tano ni
1. Argentina
2.Brazil
3.timu zote za africa
4.Japan
5.Saudi Arabia

Kabla ya leo zilikuwa
1.Spain
2.Argentina
3.Belgium
4.Egypt
5.France

Soccer ni vita.
 
Kwasababu zangu binafsi kuanzia leo sitoshabikia timu yoyote kutoka Ulaya.

Kwenye kombe la dunia timu zangu tano ni
1. Argentina
2.Brazil
3.timu zote za africa
4.Japan
5.Saudi Arabia

Kabla ya leo zilikuwa
1.Spain
2.Argentina
3.Belgium
4.Egypt
5.France

Soccer ni vita.

Great choice, goodluck
 
Hii usemi wa fair play kwenye upande wa soccer naona si mahala pake.

Ebu tazama wachezaji wanavunjana tena kwa makusudi kabisa na huku refa akitoa mijicho yake tu.

Hivi kuna umuhimu gani wa kuendelea kutumia maneno Fair play wakati wachezaji hawapo fair?

Nimeumia sana leo mpaka nimeuchukia mchezo wa soccer.

Kwasababu zangu binafsi kuanzia leo sitoshabikia timu yoyote kutoka Ulaya.
Kwenye kombe la dunia timu zangu tano ni
1. Argentina
2.Brazil
3.timu zote za africa
4.Japan
5.Saudi Arabia

Kabla ya leo zilikuwa
1.Spain
2.Argentina
3.Belgium
4.Egypt
5.France

Soccer ni vita.
Shabiki wa kugalagala wa Liverpool akionyesha majonzi yake
 
Walioharibu Mpira

1. Ramos, hovyo sana huyu jamaa

2. Refa kufumbia macho uuwaji wa Ramos, kamuumiza Sala makusudi

3. Golikipa wa Liverpool, magoli mawili kawazawadia Real Madrid
Uko sahihi saana mkuu
 
IMG_20180527_073032.jpg
 
Back
Top Bottom