Mpira umeisha: Yanga 2 vs 1 Kagera Sugar toka uwanja wa Taifa

HT.
Kiukweli washambuliaji wa Yanga hawapo makini.
Hata ukiangalia goli letu tumelipata kupitia kona tofauti na wenzetu waliofanya juhudi kupata goli la kusawazisha.
Ningependa Hajj Mwinyi Ngwali apumzishwe,mchezo wa leo umemkataa kabisa.
Hivi stahiki zao wamepata kweli, hata kama ni mimi siwezi ku-perfom wakati wanaonitegemea wana njaa..mbona kazi ipo leo!
 
Naomba kiporo kichache ili kimwagwe tuuu hamna namna.
 
Hivi stahiki zao wamepata kweli, hata kama ni mimi siwezi ku-perfom wakati wanaonitegemea wana njaa..mbona kazi ipo leo!
Huko FIFA mnakoenda mtaweza kulipia rufaa yake kweli?
Kama mlishindwa kuwalipa TFF laki 3 itakuwaje kwa FIFA?
Hahahaaaaaaaa
 
HT.
Kiukweli washambuliaji wa Yanga hawapo makini.
Hata ukiangalia goli letu tumelipata kupitia kona tofauti na wenzetu waliofanya juhudi kupata goli la kusawazisha.
Ningependa Hajj Mwinyi Ngwali apumzishwe,mchezo wa leo umemkataa kabisa.
Apply u kocha
 
D
Ni mpambano wa Ligi kuu Vodacom... mpambano ndio umeanza dak ya 6....

Azam Spots HD wako live.!

Yanga 1-0 KGS

Msuva dak ya 39.

Yanga 1-1 KGS
Mbaraka Yusufu dak ya 48 kipindi cha kwanza.

Kipindi cha kwanza kimeisha mpira ni 1-1 mapumziko.
k 48 kipindi cha kwanza????????? Haipo hiyo kitu. Kipindi mwisho dakika 45 tu
 
Kiukweli katika vijana wanaostahili kuendelezwa ni Mbaraka Yusuph.Huyu anaweza kuja kuipaisha Tanzania.
 
Huko FIFA mnakoenda mtaweza kulipia rufaa yake kweli?
Kama mlishindwa kuwalipa TFF laki 3 itakuwaje kwa FIFA?
Hahahaaaaaaaa
Simba ni taasisi, ni club ya wanachama wanaojitambua na kusimamia weledi wa kiuongozi, mpaka tunafikia hatua hiyo fahamu fika tumejipanga na kwa kifupi tu, liwake jua inyeshe mvua ubingwa mwaka huu unakwenda Msimbazi..just take my word..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…