Mpira umeisha: Yanga 2 vs 1 Kagera Sugar toka uwanja wa Taifa

Mpira umeisha: Yanga 2 vs 1 Kagera Sugar toka uwanja wa Taifa

Kaseja nae anaonyesha uwezo wake hapa
 
Afu #Nifah# na #Idawa# mjaribu kubalance mchezo mbonaa mnatoa updates ZENU tu kwan KAGERA SUGAR hawafiki golini????
Mpira unachezwa golini mwa Kagera mkuu,unataka tuweke updates gani?

Mbona Kagera waliposawazisha nilitoa update? (japo kwa shingo upande) hahaha
 
yaani nyie hamna kitu kila mwaka maneno hayo hayo na mwisho wa siku mnatoka kapa subiri uone ubingwa unaenda jangwan na confederation mnapigwa na mbao
ili muende mkadai hizo point vizur
yaan hamuon aibu kagera wamewashinda uwanjan nyie mnakomaa kudai point nje ya uwanja
nyie wa matopeni tu
hah hah unanichekesha sana mkuu, ndio maana ya kuwepo kwa sheria na kanuni zinazosimamia soka hapa nchini! Sheria zimewekwa ili zifuatwe aisee...mbona nyie hamjawaomba radhi watanzania kwa kuiangusha Tanzania viwango Caf ngazi ya club, kila mwaka ni aibu tu duh, hebu tupisheni na sisi tuwaoneshe mpira unavyochezwa ngazi ya kimataifa, chura ni chura tu hah hah
 
Kagera wanaamka sasa tokea kipindi cha pili kilipoanza.
Muda wote mpira ulikuwa unachezwa golini mwa Kagera pekee.
 
88 dk..Kagera wanapata bao la kusawazisha...now n 2 kwa 2..
 
Mohammed Fakhi kaiokoa timu yake,almanusra Yanga waandike goli la 3.
 
Back
Top Bottom