Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Ila tuache utani Luis Miquisone kiwango kimeshuka sana aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyumba za ibada ni utapeli.Sio tanzania tu bali ni dunia nzima. Ulaya viwanja vinajaa kuliko nyumba za ibada, huwaambii kitu kuhusu mpira, mpira na wao, wao na mpira. Siku hizi unaweza kukuta mchungaji ni mshabiki mkubwa wa mpira sambamba na waumini wake wanaingiza ushabiki wao mpaka kanisani. Zamani ilikuwa ni dhambi kubwa kufuatisha mambo ya dunia kama mpira, huwezi kwenda mpirani wakati kuna ibada kanisani. Mpira ndio umetamalaki, ni ibada ya sanamu
Na starehe kuu ni monde na totos au siyo?Dini yetu ni mpira, dhehebu letu kuu ni kubeti. Kuna lingine mkuu?
Acha kupangia watu mamna ya kuishi we choko
Na mahali pa ibada ni vibanda umiza.Dini yetu ni mpira, dhehebu letu kuu ni kubeti. Kuna lingine mkuu?
Hayo sio matusi...ni mawazo yake. Be positive nogho.Sasa matusi ya nini ndugu mawawa? 🤔🤔🤔
Ibada haijaenda vizuri leo!Ila tumefunga goli hata dk 3 hazijaisha wamerudisha khaa nimeumiya mno
Lazima mpangiwe ili tufike nchi ya viwandaAcha kupangia watu mamna ya kuishi we choko
😛😛Unafikiri ni kwa nini kocha hakumuingiza boko mapema sana..karibu church
Nimeishi canada 5yrs..kule unapishana na van tu..huko unapishana na sedan na suv means watu wanatoka kazni Au starehe ..van ni gari za viwandaniYaani leo jioni maeneo mengi hamna foleni za magari ,uhaba wa huduma za bajaji na bodaboda, maduka yako kimya yaani mji umekauka na kimyaaa kama kipindi kile cha corona iko active..hebu wenzetu mliotembea nchi mbali mbali hivi kunapokuwa na mechi kubwa kubwa za clubs ,Je shughuli zinazolota na ukimya kama huu? Na kesho yake je mijadala ya kujadili soko huwa kila kona ? Maana kesho kwenye daladala, vijiwe vya bodaboda, kwenye biashara etc ni fully uchambuzi wa mechi ya leo
Watawala wanapenda sana tushabikie mipira na mizikiMpira umekuwa ndio dini yetu rasmi Watanzania.
Umetufanya na unazidi kutufanya kuwa wapumbavu kupindukia.
Sisi ni kizazi kilichopotea kina tangatanga kama kuku aliye katwa kichwa.
Uwepo wetu katika nchi yetu hauna maana dini hii iitwayo mpira inazidi kutuangamiza Watanzania kwa kutufanya wapumbavu kupindukia
tetea hoja yako, utapeli kivipi?