Aeronautical
JF-Expert Member
- Jun 19, 2019
- 217
- 396
Ni dakika ya 43 sasa, bado bila kwa bilaTanzania prison na namungo ngap ngap??????
Karibu sana kiongozi, agiza panadol kabisa maana baada ya mpira kuisha inabidi unywe upunguze maumivu utayopata.Nipo hapa bila makando kando wala red card nq penat sisi kagera tunashinda
Kiufupi tunaongoza vipindi vyote
Bilabila. 44'Tanzania prison na namungo ngap ngap??????
Namungo wamefungwa 1Tanzania prison na namungo ngap ngap??????
Ingekuwa upande wa Kagera ingetengwa penati.Yanga mnabebwa sana leo kipindi cha pili mumpe zawadi mwamuzi
Kagera wamenyimwa penalty ya wazi,waamuzi wakajidai hawajaona mpira umeshikwa live