Sun is Sun
JF-Expert Member
- Mar 13, 2024
- 649
- 975
Mnawapa uongozi wasomali unategemea nini hapo.kiongozi wa juu wa chama unawaza ulozi!tutabaki kuwa nyani mpaka yesu atakaporudi tenaMtu ametoka mkoani ametumia gharama ili akaishuhudie timu yake, Halafu mechi inahairishwa kitoto.
Kweli Black race itabakia hivi hivi milele.
Kwani ni lazima kuishi dar?childish argument.SI ahamie dar aepushe gharama za nauli
🙁😂SI ahamie dar aepushe gharama za nauli
Kwanini wabongo wote wawe jau wakati viongozi wa juu ndio waliokurupuka kutoa kauli.Sio mpira wa Bongo, ila sisi Wabongo ndio jau.
Lakini hata Ulaya huwa kuna malumbano ya mpira. Hii ipo duniani kote.😂😂serikali ya Ccm huwa inafarijika mno kuona nguvu kazi ya taifa ikiwa imejikita katika malumbano na upuuzi kama huu
Wamesababisha hasara mpaka kwa Walala-hoi wanaopenda mpira.Mnawapa uongozi wasomali unategemea nini hapo.kiongozi wa juu wa chama unawaza ulozi!tutabaki kuwa nyani mpaka yesu atakaporudi tena
Kwani waliofanyiwa hivyo hawatambui haki yao mpaka na wao wakae kimya au hii ni mara ya kwanza jambo kama hili kutokea?Kwanini wabongo wote wawe jau wakati viongozi wa juu ndio waliokurupuka kutoa kauli.
Sasa hata wakipeleka malalamiko nani atawasikia?Kwani waliofanyiwa hivyo hawatambui haki yao mpaka na wao wakae kimya au hii ni mara ya kwanza jambo kama hili kutokea?
Hatuwezi kuwa watu wa kulalamika kila siku wakati mnaonewa.
Mkuu kama hatuwezi kudai haki zetu hakuna mtu ataleta mezani hata siku moja.Sasa hata wakipeleka malalamiko nani atawasikia?
Unaenda kulalamika wapi wakati mifumo yetu yote ni ya kizandiki.Kwani waliofanyiwa hivyo hawatambui haki yao mpaka na wao wakae kimya au hii ni mara ya kwanza jambo kama hili kutokea?
Hatuwezi kuwa watu wa kulalamika kila siku wakati mnaonewa.
Mkuu kama hatuwezi kudai haki zetu hakuna mtu ataleta mezani hata siku moja.
Yani viongozi hata 100 hawafiki wanawaendesha mashabiki zaidi ya 50k na wanachekelea tu.
Oyaa kuwa serious Mkuu.Unaenda kulalamika wapi wakati mifumo yetu yote ni ya kizandiki.