endrizzy
Senior Member
- Oct 19, 2015
- 186
- 137
mpira wa tanzania hauwez kupiga hatua kamwe kama tukiendelea ivi tunavoendelea maamuzi mengi yamekuwa yakitolewa kwa faida ya simba au yanga. sasa refa kafungiwa miaka miwili hawasemi sababu na mkude kadi imefutwa hawasemi koz akipopewa kila mtu aliona sababu.