Hilo ndo soka letu haliwezi kuwa sawa na wa Ulaya
Hilo ndo soka letu haliwezi kuwa sawa na wa Ulaya
Inabidi tuzoee mipira yetu ya kichangani hamna namnaKweli...
wewe utakuwa yanga bila shaka hahahaYaani me nikimuona mtu anaumwa kisa kakosa kuangalia Simba na Yanga huwa namshangaa sana. Mechi nyingi nilizowahi kuziona huwa wanacheza mpira mbovu kiasi kwamba nimepoteza kabisa shauku ya kuwaona yaani bora hata ndondo cup
Yaani me nikimuona mtu anaumwa kisa kakosa kuangalia Simba na Yanga huwa namshangaa sana. Mechi nyingi nilizowahi kuziona huwa wanacheza mpira mbovu kiasi kwamba nimepoteza kabisa shauku ya kuwaona yaani bora hata ndondo cup
Mimi bahati mbaya nikiwa Tanzania nilikuwa siujuwi mpira kabisa-ikatokea bahati nikaja kuujua nikiwa nje. It happened I was in Tanzania nikaenda stadia kutazama Yanga na Simba-to be frank I was more then disappointed sikutegemea standards to be that low-as far as I am concerned Tanzania hatuchezi mpira we just run around