The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Natazama Simba na Yanga
wachezaji wanatoa pasi za upofu sana
yaaani mchezaji anapeleka pasi eneo ambalo hakuna mchezaji wa timu yake
kingine naona jinsi ya ku cover nafasi ni kama wachezaji wetu hawajui
mtu yuko nyuma ya mchezaji pinzani halafu anaomba pasi
na ajabu zaidi anapelekewa pasi pia...
mpira wetu baado saana
na Rafu nyingi tu za red card refa kazichunia
wachezaji wanatoa pasi za upofu sana
yaaani mchezaji anapeleka pasi eneo ambalo hakuna mchezaji wa timu yake
kingine naona jinsi ya ku cover nafasi ni kama wachezaji wetu hawajui
mtu yuko nyuma ya mchezaji pinzani halafu anaomba pasi
na ajabu zaidi anapelekewa pasi pia...
mpira wetu baado saana
na Rafu nyingi tu za red card refa kazichunia