tupimane HISIA HAPAPole mkuu naona unajitahidi kueleza hisia zako juu ya ndala fc... Ule mpira yanga hawakupiga pasi nyingi kama simba. Wao walikuwa wanapiga mipira mirefu na kwakuwa haikufika kwa walengwa walionekana kama wanabutua tu usijipe upofu kisa ushabiki mkuu timu zote zilikuwa hovyo ila kusema yanga alimzidi simba pasi umedanganya kweupe
MUDA utaongea mkuuDaah aisee kuna wanazi na mashabiki...
Afu unakuta wanajirundika tu pamoja. Yaani hadi najiuliza au viwanja vyetu vidogo ukilinganisha na vya Ulaya. Kwa kweli juzi nilikuwa disappointed sana na mpira wetu. Watu wanafukuza mpira badala ya kufungua nafasi. Wanataka wamulikwe na kamera.Natazama Simba na Yanga
wachezaji wanatoa pasi za upofu sana
yaaani mchezaji anapeleka pasi eneo ambalo hakuna mchezaji wa timu yake
kingine naona jinsi ya ku cover nafasi ni kama wachezaji wetu hawajui
mtu yuko nyuma ya mchezaji pinzani halafu anaomba pasi
na ajabu zaidi anapelekewa pasi pia...
mpira wetu baado saana
na Rafu nyingi tu za red card refa kazichunia
Jibu zur sana siendelei tena kusoma comment nyngne umeijenga siku yangu mkuuMimi sio kuku lakini yai bovu nalijua
Umemjibu kiituuzima . Safi sana.Mimi sio kuku lakini yai bovu nalijua
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kumbe ni Kwel simba na yanga hawajui mpira, basi ngoja niendelee kupata raha aisee ya EuropeNdio tatizo la kuangalia Sana mechi za Europe!
Mkuu.. Soka bado kwa mambo mengi sana hasa ukizingatia TFF nao wamo katika kudidimiza mpira, usimamizi wao kuhakikisha kila timu inakuwa na timu ya vijana ni butuNatazama Simba na Yanga
wachezaji wanatoa pasi za upofu sana
yaaani mchezaji anapeleka pasi eneo ambalo hakuna mchezaji wa timu yake
kingine naona jinsi ya ku cover nafasi ni kama wachezaji wetu hawajui
mtu yuko nyuma ya mchezaji pinzani halafu anaomba pasi
na ajabu zaidi anapelekewa pasi pia...
mpira wetu baado saana
na Rafu nyingi tu za red card refa kazichunia
Unatuliza Moira kusini lakn linaenda mpka kaskznNatazama Simba na Yanga
wachezaji wanatoa pasi za upofu sana
yaaani mchezaji anapeleka pasi eneo ambalo hakuna mchezaji wa timu yake
kingine naona jinsi ya ku cover nafasi ni kama wachezaji wetu hawajui
mtu yuko nyuma ya mchezaji pinzani halafu anaomba pasi
na ajabu zaidi anapelekewa pasi pia...
mpira wetu baado saana
na Rafu nyingi tu za red card refa kazichunia
Nilichopinga mkuu nikuwa yanga walikuwa zaidi ya simba maana takwim za first half yanga alimzidi simba na kipindi cha pili simba alizidi yanga labda faulo nyingi ndo yanga aliongoza mwanzo mwisho [emoji2] [emoji2]ndio maana kunakua na ubao wa tathmini wakati wa mapumziko na baada ya mechi ambao pia una maana nyingi sana..............kama uliangalia tathmini ya kipindi cha kwanza waka hutobisha tena ila nakubaliana na wewe kwamba kiujumla timu zote zilikua hovyo
Ahsante mkuu naomba uangalie huo ubao yanga alichomzidi simba ni possession 51 kwa 49 na faulo 14 kwa 6 na kadi za njano 2 kwa 1 haya kipindi cha pili hiyo possession iligeuka simba 54 kwa 46 ila faulo bado yanga alizidi mkuu[emoji28]tupimane HISIA HAPA
na ufahamu wote tukicheza football itakuwa nonsense... hamna soccer bila shabikiMpira ni mwepesi ukiwa nje ya uwanja ingia Kati uone shuguli yke na hakuna kz nyepesi km kukosoa ata mtt mdgo anaweza kosoa....
Mkuu bora kukubaliana na hali hii ilivo Watanzania kila sector hatuwezi kufanya la maana. Tuko nyuma kila mahaliSikutarajia tufikie Ulaya but kidogo hata Waafrica wenzetu
Ukitazama derby ya Al-Ahly na Zamalek....ni kiwango kikuubwa mno
sisi hata pasi tano tu shida