hata kama nna ushahidi wote kuonyesha hizo tuhuma
Mpoki ndiye nani?ndio leo nasikia jina lake
♥Ukiona unapendwa sana na mademu ujue una nyota ya ukimwi
♥Ulaya wamegundua iphone 5 na sie tumegundua division 5
♥Msemo wa waache waseme mchana usiku watalala,je ukisemwa na walinzi?
♥Usiombe umtongoze demu wa hosteli ni balaa watakuja kama wanne kwenye first date halafu waliobaki hostel wenzake wote wanataka chpsi kuku chips kuku.
♥Ukimtongoza demu unamkuta na simu ya tochi lakini baada ya mda anataka blackberry mara samsung gallaxy hadi htc
♥zamani wanaume walikuwa wananyanyua vyuma kupata mademu,siku hizi mademu wanataka hela nyanyua chuma uishie kuwa baunsa.
Ni nani huyo?
Nadhan kama yalimtokea ya Dudubaya si Lazima yamtokee Mpoki,na Shigongo ni Binadam kama Mpoki,wote wanakosea,hivi Shigongo nae utasema anaisaidia Jamii kwa vijarida vyake vile?na Mpoki naye anaisaidia nini jamii,me nawaona wote MajuhaKatika wimbo wake mpya alio mshirikisha Ben Paul. Mpoki anasikika akisema maneno yafuatayo :
" WATU WA BONGO MOVIE, WALA MSILALAMIKE KUPOROMOKA KWA MAUZO YA KAZI ZENU, KWANI ANAYE WACHAFUA NI MSUKUMA WA BAMAGA NA NYIE MNAMJUA, NA NYIE HAO HAO NDIO MNAO MUENDEKEZA,
NA NDIO MAANA NILIWA AMBIA SISOMI MAGAZETI YA UDAKU MKANIONA CHIZI,
NA SASA HIVI UKINIAMBIA NIMTAJE MUANDISHI BORA WA KIKE, MI NTAMTAJA DADA SHALUWA "
Sikiliza wimbo huu hapa chini..
DOWNLOAD NA SIKILIZA WIMBO MPYA: MPOKI FT BEN POL - UMIZA KICHWA - DUNIA KIGANJANI
TUSUBIRI SHIGONGO ATA RESPOND VIPI, BUT UZOEFU UNAONYESHA KUWA SHIGONGO HUWA HARSPOND BEEF ZA WASANII, MWAKA 2004 DUDUBAYA ALIMDISS VIBAYA SANA SHIGONGO KUPITIA CHANNEL TEN, 3 DAYS LATER DUDU ALIWEKWA NDANI KWA KOSA LA KUMPIGA MR. NICE, SHIGONGO HUYO HUYO AKAENDA KUMTOA, NA INASEMEKANA ALIKAA NAE KAMA MDOGO WAKE, WAKAYAMALIZA NA KUENDELEA NA MAISHA KAMA KAWAIDA.
Mpoki ndiye nani?ndio leo nasikia jina lake
huwezi kuwa na busara ukadhulumu watu, ukaishi kwa kucjafua watu na kula mtu na mamayakeKatika watu waliobarikiwa busara shigongo na shaluwa wamo,hutosikia malalamiko yao wakilumbana jibu tosha kwamba mpoki ni mjinga
huwezi kuwa na busara ukadhulumu watu, ukaishi kwa kucjafua watu na kula mtu na mamayake
Wamalawi utawajua tu, wakishafanya za ulinzi wakapata pesa ya simu wanaanza na nyodo
Mpoki ni katibu Kata wa karonga
metisha
Shigongo ana bifu na ze comedy muda sana tangu wapo eatv hakuna siku shigongo kawaandika vizuri ze comedy kwenye magazeti yake... akina mpoki wamemchoka sasa wameona bora tu wamuimbe
Ashawazoea kina desh desh...wanaishi kwa kuuza habari bas analazimisha hadi comedy nao wenyewe hawataki