Mpoki...

Mpoki...

Sio kweli,naweza kawa na tv lakini siangalii hicho anachomaanisha... C lazima kumfahamu kwani yeye nani bana..

kimoyo moyo unamfaham na unamkubali...aya!
 
samaki siku zote anashinda baharini.......................lakini ukishamvua ukitaka kumpika unamwosha na maji....lol.....

tunajidai sisi ndio wasaafi...
 
Tuache masihara huyu jamaa mkali na ndie aliyeipendezesha shoo ya jana.

yap!...nilikua nimeshalala...mshkaji akaniambia mpoki ni mc msaidizi...nikasema walau nikachungulie...nikajikuta nimemaliza show!..
 
Huyu mpoki noma kiaina!alishantoa nishai ya kiutani katika foleni selander bridge!!!!ila muonekano nao unambeba!!cheusiii na kitumbo chake kama kiroba!!!wachekeshaji wako mtoni mtu handsome lakini anachekesha!
 
Huyu mpoki noma kiaina!alishantoa nishai ya kiutani katika foleni selander bridge!!!!ila muonekano nao unambeba!!cheusiii na kitumbo chake kama kiroba!!!wachekeshaji wako mtoni mtu handsome lakini anachekesha!

hivi ni wewe uliambiwa rangi ya ngozi yako ni nzuri kama nazi kavu?
 
Huyu mpoki noma kiaina!alishantoa nishai ya kiutani katika foleni selander bridge!!!!ila muonekano nao unambeba!!cheusiii na kitumbo chake kama kiroba!!!wachekeshaji wako mtoni mtu handsome lakini anachekesha!

we kweli muuza sura,unapenda hoja za muonekano kweli,mara ooh Roma anamuonekano wa kienyeji,watu wengine bana
 
Kama huna hobbie naye mbona umechangia hapa? Ungepotezea tu.

Jana alitolea mfano wa watu kama nyie ambao mnajidai hamumfahamu, eti kwani hamna TV kwenu! Kama mna TV lazima umfahamu mpoki!!

umekurupuka, msome tena kaka, angela hakusema hamfahamu, amesema hana hobby naye. usimlazimishe amshabikie kama hataki vipi bana.
 
Back
Top Bottom