Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,647
kwahiyo ikianzishwa thread lazima anayeichangia aiunge mkono????? StupidKama huna hobbie naye, kwenye thread inayomuhusu unafanya nini? Acha kiherehere!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwahiyo ikianzishwa thread lazima anayeichangia aiunge mkono????? StupidKama huna hobbie naye, kwenye thread inayomuhusu unafanya nini? Acha kiherehere!!
pumba umeandika,kwa hiyo wewe Mpoki umjui?Sio kweli,naweza kawa na tv lakini siangalii hicho anachomaanisha... C lazima kumfahamu kwani yeye nani bana..
hahahahahaha wivu unamsumbuwa 2Wale wale..
Haya tulia, tuseme basi humfamu! Umefurahi eeh!
JF ni sehemu ya kuongea kwa uwazi.Kwani lazima useme, si upite kimya kimya!
Usikute punga yeye muonekano anaowe kweli muuza sura,unapenda hoja za muonekano kweli,mara ooh Roma anamuonekano wa kienyeji,watu wengine bana
ni mwanaume nyeti kwako kuliko nyeti aliyonayo mama yako. Pumb.afu wewe, usinitukane sababu ya kutokuwa na hobbie na mtu, NILICHOSEMA MIMI SINA HOBIE NAYE SIJAMTUKANA WALA KUTUKANA MEMBER YOYOTE,kinachowafanya mnijie juu km moto wa kifuu ni nini? Km mnamshobokea kimpango wenu mi simshobokei.
like nimekupa shobo demu uyoUjue unamshobokea, sredi ina title Mpoki!! Umeifungua haraka haraka na kuchangia ya nini? Vitu vingine vinahitaji mtu kutumia akili kidogo sana..
sitoagi Like za kinafiki wala kishabiki, natoa Like kwa kile ninachoamini nimekipenda.
humfaham?basi mkewako anamfaham..
si ungekaa silent kwn lzima ucoment, ndo maana alipewa kushereesha sehem nyet kuliko nyeti uliokuwa nayo, mbona hawajakupa wewe?
Si kila mtu unayemfahamu lazima na wengine wamfahamu mkuu...
nakugongea LIKE ya nguvu, nimependa sana msimamo wako.sitoagi Like za kinafiki wala kishabiki, natoa Like kwa kile ninachoamini nimekipenda.
etiee!? Kumbe mkuki kwa nguruwe mtamu kwa binadamu mchungu, DAWA YA MOTO NI PETROLI.