Mpoki...

Mpoki...

jamaa ni noma ndiye aliye nifanya niangalie ile show mpaka mwisho!
'SIO KUISHI CHUO KIKUU NDO KUWA NA AKILI'

same here kamanda...nilishapanda kitandani..
 
naona povu linakutoka,mate piya ila umetumwa ucomment ungepita kimya kimya 2

Umetumwa? kwani huyu binti kawafanya nini? kwanini mumlazimishe asichopenda? acheni ubwege. yupo hapa kwa sababu mnamuuliza maswali, mungemkaushia angekuwa kashaondoka. Nyie mnaomponda mna akili fupi kama maisha ya funza. mstake kumjua sana binti wa watu. yeye alifungua akijua mpoki kafa labda. alaaa...!!!
 
Demu wa survey anaulizwa unasoma naso mliman, unasomea nn veta, unaringa unaishi sinza maji yanatoka mara moja lol! Kwa wiki
 
Mpoki yupo juu. Alinifurahisha jana,
Hakuna Mkate Mgumu mbele ya Supu.
Ukiwa ndani ya SUTI usiongee POINTLESS!
 
Baba na mama wakiwa weusi,mtoto anakuwa km oil chafu iliyomwagwa barabarani. sio siri jamaa namkubari.
 
"bata hata awe mchafu vip, atataga yai jeupeee"


Mbona sioni cha kuchekesha hapa, au ndo bongo style?
 
Usikute punga yeye muonekano anao

Usiumie dogo!kuuchukia muonekano wangu ni kuichukia kazi ya Mungu...uumie usiumie ukweli unabaki kama mimi muonekano nnao na nyota inang'aa mjini hapa!!!sura mbaya mna chuki sana mkiona watu mauzo mnakimbilia katika upunga!!!hapa mauzo mia
 
Back
Top Bottom