Mpoto: Kuna bakteria wa ushoga mwanaume anazaliwa nao

Mpoto: Kuna bakteria wa ushoga mwanaume anazaliwa nao

Siku nyingine Atueleza na ubasha umesababishwa na uwepo wa urine sensor ( vifaa maalum cha kukojolea wanaume) zamani wazee wetu walikuwa wanakojolea vichakani.
 
hahahaha HAPA VICHAKANI TU... Mpoto kwenye ubora wake...
 
Sababu Mungu anaishi, hakuna mtu anaexaliwa na hizo tabia.
Ushoga hufundishwa kutokana na mazingira wanayokulia au kufanyiwa vitendo visivyofaa
 
Sawa mjomba lakini si kuna antibacterial treatment? Si kuna kuna dawa ya minyoo pia??? Suala la msingi hapa ni kuzingatia kanuni za afya bora. Kuwashwa 0713 ni dalili mojawapo ya minyoo sasa vijana wetu badala ya kutumia dawa wao wanajaribu kubanjuliwa bila kujua kuwa a single trial is enough for addiction.
 
Akili hiyo na mawazo hayo ambayo wadau wanayakataa humu miezi michache nyuma waliishabikia na kuoina ya maana kweli pale ilipokuwa inampigia upatu mgombea flani wa ujanini!!!!

Akili hii kamwe isingeweza kunishawishi nimchague nani nimuache nani, kwasababu haijisomi. PERIOD😱😱
 
Hii ndio shida yetu ,ukimwambia akuambie ni bacteria wa aina gani ,na kitaalamu wanaweza kutibiwa ama la ataishia kusema oh mtu mzima kuuliza swali la kitoto kuna ulakini ,acheni wenye fani zao watoe hayo matamko
 
Back
Top Bottom