Mpoto: Mzee Ngosha wa Nembo ya Taifa alikuja kwangu kama 'chizi', tukafanya kazi, akatutoroka..

Mpoto: Mzee Ngosha wa Nembo ya Taifa alikuja kwangu kama 'chizi', tukafanya kazi, akatutoroka..

Babu alikuwa real rasta..may his soul rest in peace..amen
 
Unafiki tuu alikua wap muda wote mijitu kama hii si ipendi kinoma daaah wiki mbili zote mzee kawika vyombo vya habar leo analeta unafiki wake hapa
 
Uongo wake upi wanajukwaa...?? Cjaona hata mmoja akipinga kuwa sura ya mzee kwenye video sio sura ya ngosha.,, Sasa hebu verify uongo wa Mpoto hapo...!!
 
Huyu mpoto naye aibu Sanaa, we ni kioo cha jamii acha hizo mtu Wamemwonyesha itv eatv azam TV maredion magazetin leo kafarik et nilikuwa na mfaham,,, kama Ulikuwa nje ya Tanzania, basi pole mwanasaa wetu,, siku ukatapo roho mema yako na mabaya huwa kitu kimoja,,, narud kwa mjomba
 
Kwahiyo ana video ya huyo mzee?
 
BAADA YA KUSOMA MAELEZO YA MRISHO MPOTO KUHUSU NGOSHA NIMEGUNDUA VITU VIWILI.......

1.MRISHO MPOTO AMESHUKA KISANAA

2.MRISHO MPOTO ANATAFUTA AIRTIME AU KIKI I YA KUANDIKWA MAGAZETINI .

3.ANATAFUTA HURUMA KWA MHESHIMIWA RAISI APATE HATA NAFASI YA KUTEULIWA.

KWA KIFUPI ALICHOZUNGUMZA MPOTO SIO KWELI NI UONGO WA KUPINDUKIA
 
Yaani habari zote za ugonjwa wake, hukusia, kuomba msaada wa ugali na kisamvu pale muhimbili hukusikia, umekuja kusikia kifo chake ndio ukajua ni nani? Mpoto unafiki mbaya sana mkuu..au kuna mtu ulikuwa unamfuatilia afe ndio maana unachunguza habari za wafu?! Aibu bora ungekaa kimya tu.
 
Back
Top Bottom