Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Sisi wapiga kura wako tumechoshwa na kuwa na Mbunge bubu bungeni. Tulikuchagua ukawasilishe mahitaji yetu bungeni na siyo kwenda kugonga meza.
Mpwapwa miundo mbinu ya barabara ni mibovu na shida ya maji ipo palepale na wewe unaendelea kugonga meza tu.
Jiandae kabisa maana uchaguzi wa mwaka huu hapati kura zetu maana tumekuchoka.
In God we Trust
Mpwapwa miundo mbinu ya barabara ni mibovu na shida ya maji ipo palepale na wewe unaendelea kugonga meza tu.
Jiandae kabisa maana uchaguzi wa mwaka huu hapati kura zetu maana tumekuchoka.
In God we Trust