Mpya: Askari polisi wa kituo cha Mbalizi Mbeya wafanya Ibada kituoni kuomba Mungu atuepushie janga la Corona

Mpya: Askari polisi wa kituo cha Mbalizi Mbeya wafanya Ibada kituoni kuomba Mungu atuepushie janga la Corona

Kwani hawana Bunduki na Marungu? Si wangeyatumia tu kuisambaratisha Corona coz kwao Bunduki na Marungu ndiyo kila kitu.
 
Ushauri: Tuepuke ibada za kinafiki. Mungu hadhihakiwi. Tunaweza kuwa tunaomba hukumu tusipokuwa makini katika maombi yetu. Tuache ibada za maigizo. Tuombe kwa ibada iliyo kuu mioyoni mwetu.

Tusiombe kwa nia ya kutengeneza habari, na kujionesha kwa aliyeagiza.
Yesu alisema......." Mkutanikapo watu wawili au zaidi kwa jina langu mimi nipo katikati yenu"

Ile Ibada ilikuwa halisi, Mungu wa mbinguni ambariki afande Lusekelo na vijana wake!
 
Wakokole ukiumwa kichwa wanaanza kukemea mapepo utasukumwa bichwa had utie adabu...ndo km hao
Mkuu Wangari Maathai , To be honest! Toka nisome ule waraka wa Baba Askofu Niyemugizi, nimekaa nikafikiria sana.

This is a defining moment, not only for our beloved country, but for the whole world!

Kwa uhakika kabisa, viongozi walioenda kwenye kikombe cha babu, wasingeweza na wala hawataweza kukabiliana na janga kama hili!

Ni kweli kabisa kuwa watawala wetu wanaya reflect mawazo na tabia zetu sisi wananchi wenyewe na kuna mtu huwa alikuwa anasema tusijilaumu na kutaka tupate viongozi walio tofauti na sisi.

Sasa dini na imani ndivyo vimeachwa vilivushe Taifa ambalo kwa kiasi kikubwa liko nyuma kwasababu ya mambo kama hayo! I am sad beyond words to explain!

Kwa kumalizia, niseme tu huko mbeleni, tutatambuwa tabia halisi za wanadamu nyakati za dhiki. Huwa wanasema ukweli wa mtu alivyo, huwa unaonekana wakati wa shida! Na pia ni nasema kuwa viongozi wa ukweli, watajulikana kipindi hiki cha mahangaiko na shida na taabu za wananchi!

Uzuri ama ubaya wa mtu, hufahamika wakati wa dhiki.

Ni wakati wa kufahamu huo ukweli, maana kuongoza siyo kukusanya kodi zetu pekee na kuzitumia unavyotaka!

Kuna mambo mengi tu ambayo Mungu atakuwa ameyaingilia kwa niaba ya watu walio wake.

Kama kuna wanaomuhubiri Mungu anayependa uonevu na ukatili, wajiandae. Hii ni kazi ya Mungu mwenyewe. Maana wenye macho hawakuona na wala wenye masikio hawakusikia!
 
Ataacha kucheka wakati anajua kabisa ni futuhi kama la kina Masanja? Maana polisi sio nyumba ya ibada, na serikali haina dini, ilikuwaje mpaka camera zikaletwa kwenye huo uhuni?
Hata Mbatia aliendesha maombi na sadaka zikatolewa pale jangwani wakati Chadema mnafunga kampeni mwaka 2015, wimbo wa sadaka ulikuwa " Bwana U sehemu yangu" kutoka Tenzi za Rohoni.

Mungu haabudiwi Kanisani pekee bwashee!
 
kuna watu humu kazi yao ni kupinga tu maombi hayafanyi kazi mara ooh fwateni maelekezo tu. niwakumbushe tu hakuna jambo lolote katika dunia hii ambalo halijaanzia katika ulimwengu wa roho maana huu ulimwengu ni kopi tu ya ulimwengu wa roho. Halafu hao walio matajiri na teknolojia za hali ya juu wapo wapi kama siyo tu wanalia hadi makamasi yanawatoka wakati Tanzania vifo ni vya kudunduliza. Na watatkuja na hoja muda bado lakini na wahakikishia kama ni Mungu huyu tunayemuabudu mjiandae kuaibika kwa maneno yeno na kebehi zenu juu ya huyu Mungu na nchi yetu ya Tanzania.
 
Hadi kufikia kesho asubuhi kavideo ka hio ibada hakajapandishwa hapa basi utakuwa umbeya tu
 
Mkuu Wangari Maathai , To be honest! Toka nisome ule waraka wa Baba Askofu Niyemugizi, nimekaa nikafikiria sana.

This is a defining moment, not only for our beloved country, but the whole world!

Kwa uhakika kabisa, viongozi walioenda kwenye kikombe cha babu, wasingeweza kukabiliana na crisis Kama hii!

Ni kweli kabisa kuwa watawala wetu wanaya reflect sisi wananchi wenyewe na kuna mtu huwa alikuwa anasema tusijilaumu na kutaka tupate viongozi walio tofauti na sisi.

Sasa dini na imani ndivyo vimeachwa vilivushe Taifa ambalo kwa kiasi kikubwa liko nyuma kwasababu ya mambo kama hayo! I am sad beyond words to explain!

Kwa kumalizia, niseme tu huko mbeleni, tutatambuwa tabia halisi za wanadamu nyakati za dhiki. Huwa wanasema ukweli wa mtu alivyo, huwa unaonekana wakati wa shida! Na pia ni nasema kuwa viongozi wa ukweli, watajulikana kipindi hiki cha mahangaiko na shida na taabu za wananchi!

Ni wakati wa kufahamu huo ukweli, maana kuongoza siyo kukusanya kodi zetu pekee na kuzitumia unavyotaka!

Kuna mambo mengi tu ambayo Mungu atakuwa ameyaingilia kwa niaba ya watu walio wake.

Kama kuna wanaomuhubiri Mungu anayependa uonevu na ukatili, wajiandae. Hii ni kazi ya Mungu mwenyewe. Maana wenye macho hawakuona na wala wenye masikio hawakusikia!


Siongezi kitu hapa
 
Hata Mbatia aliendesha maombi na sadaka zikatolewa pale jangwani wakati Chadema mnafunga kampeni mwaka 2015, wimbo wa sadaka ulikuwa " Bwana U sehemu yangu" kutoka Tenzi za Rohoni.

Mungu haabudiwi Kanisani pekee bwashee!

Ule ulikuwa ni usanii kama usanii mwingine. Kwa maneno marahisi Mungu anatumika kama sehemu ya kuteka wenye uelewa finyu.
 
Askari polisi wa kituo cha Mbalizi mkoani Mbeya leo wamefanya Ibada kituoni hapo kutimiza maelekezo ya Rais Magufuli ya kufanya maombi dhidi ya ugonjwa wa Covid 19.

Ibada hiyo iliongozwa na mkuu wa kituo afande Lusekelo na kuhudhuriwa na mkuu wa wilaya.

Source ITV habari.

My take; Tukio hili la ibada na namna makamanda walivyokuwa wakikemea katika jina la Yesu limenibariki sana!
Polisi wanavyopenda dhulma na kuonea watu sijui kama hiyo sala itasikiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe kila kitu ni mzaha mzaha tu! Kwanini Corona isikumalize kabisa??!!
MATAGA Punguza volume unatutemea mate huku mtaani

Sent by IPhone
 
Hadi kufikia kesho asubuhi kavideo ka hio ibada hakajapandishwa hapa basi utakuwa umbeya tu

Ongea na ITV maana huo uhuni
umerushwa na ITV, au subiri taarifa habari ya saa 5 usiku huu ujionee mwenyewe huo utapeli.
 
Wewe kila kitu ni mzaha mzaha tu! Kwanini Corona isikumalize kabisa??!!

Anayeleta mzaha ni huyo uliyemquote, au ni hao polisi waliogeuza kituo cha polisi dhehebu la maombi?
 
Back
Top Bottom