Mr. Blue afunga ndoa

Tena kwa kukufahamisha zaidi mkuu asrams,uislamu uliweka hizi sheria ili waislamu waache uzinifu na wasizae nje ya ndoa,kwani tunaafumdishwa mzinifu lazima ataoa mzinifu mwenzie,nadhani nimekupa mwanga kidogo kuhusu uislam na ndoa
 
siku zote zilizopita hata kama alikua anafanya ibada ni sifuri tu

Mkuu hio sentensi ya juu uliiandika wewe. Je kuna ushahidi wowote ktk Quran au Hadith?
Maana kwa uelewa wangu mdogo unamaanisha kama hujaoa/kuolewa ukifanya ibada yeyote ni sifuri
 
Sasa Blue upunguze menu bhana, hizo shavu zinaanguka.
 
Asee mama Kheri ni kisu balaaa...
 
Amezini weeeeeeeeee sasa ndo kaoa,siku zote zilizopitz hata kama alikua anafanya ibada ni sifuri tu,baada ya ndoa sasa akifanya ibada sawa,mimi simuungi mkono wala simpongezi kwa kuzaa watoto wa zinaa.kwa waumini wa kiislamu wanalijua hilo.
Kwani aliyemfungisha ndoa ni mchungaji wa kanisa gani?
 
Huyo bi harusi ana mtoto wa tatu tumboni eeh
Anaitwa Matilda Ji..y, yuko poa huyo dada katulia na kichwan siyo kiazi mana ana elimu kiasi..Japo alikuwa nyoka anaeng'ata kimyakimya naimani ameacha mana ukubwa dawa
 
Amezini weeeeeeeeee sasa ndo kaoa,siku zote zilizopitz hata kama alikua anafanya ibada ni sifuri tu,baada ya ndoa sasa akifanya ibada sawa,mimi simuungi mkono wala simpongezi kwa kuzaa watoto wa zinaa.kwa waumini wa kiislamu wanalijua hilo.
Hata usipomuunga mkono ye anapungukiwa nini,na wapi Quran imeandika watoto wa zinaa au wewe ndo wasema
 
Wanaoijua hawasemi lolote,kwa kuwa wewe sio kitabu cha dini yako,huwezi kujua,fuatilia maoni yangu kwenye uzi huu utanielewa,vinginevyo unataka mabishano ya dini humu.
 


Hamsamehe mkabariki wenzetu nyie?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…