Mr. Blue em tuambie juu ya ''PESA''...

namwaga note km mtt wa fisadi.hahahaha kweli kajitahidi kuchana
 
wanahitaji darasa kaka

wakasome wapi sasa? Sanaa..? Vyuo vikuu? .. Elim dunia?
Au elimu ya WAZAZI WAO...??
AU TUWAACHE WAFUNZWE NA ULIMWENGU??
 
Ngoja nitatoa nondo kesho.now nacheck eatv kuna pembe na senga wananiondolea stress hapa!
 
namwaga note km mtt wa fisadi.hahahaha kweli kajitahidi kuchana

hakika kwa singo hii kama angekua kwa OBAMA....we could be talkin MILLION DOLLARS....
 
nilikuwa namjibu excellent sema nashindwa kumtag specific person coz bado cjaizoea jf data c kwamba namsema blue
 
nilikuwa namjibu excellent sema nashindwa kumtag specific person coz bado cjaizoea jf data c kwamba namsema blue

ok.. WATAKA KUSEMA NINI...?
JUST SAY IT IN PLAIN.

Funguka bila ku quote.
 
data unaposema Mr,Blue anajua unaniangusha,mi kwa hawa wasanii wa sasa namkubali Darasa[SUB]​[/SUB]
 
Last edited by a moderator:
data unaposema Mr,Blue anajua unaniangusha,mi kwa hawa wasanii wa sasa namkubali Darasa[SUB]​[/SUB]

darasa anamkopi na kumpest FID..+++
SO NAONA KAMA HUNIELEWI.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…