Mr. Blue em tuambie juu ya ''PESA''...

Mr. Blue em tuambie juu ya ''PESA''...

darasa anamkopi na kumpest FID..+++
SO NAONA KAMA HUNIELEWI.
fid q alikuwa anacopy maneno ya wasanii wa mamtoni halafu anajifanya anatoa nahau,hata beat anacopy.
Darasa anamkubali Fid Q ila hamwigi
 
fid q alikuwa anacopy maneno ya wasanii wa mamtoni halafu anajifanya anatoa nahau,hata beat anacopy.
Darasa anamkubali Fid Q ila hamwigi

hahahahahahaaahaaaahaaa loh.. Excellent ..,,kisome tena ulichopost.
 
Last edited by a moderator:
Anatumwa kununua gazeti na dogo hamidu. Mia

Dogo hamidu nae n gwiji wa unga pale manyanyaa,polic wanamjua sema wanawaogopa kakazake nÀ yye mwenyew,hana hit track k hvo but anamkalisha blue k pesa mpka unathubutu kusema anauwezo wa kumtuma byser gazet,,,,Nyandu Toz manyanya sio mbali toka Obey,watch ya steps achana na cocktail,system @ work,tunawapenda.
 
Dogo hamidu nae n gwiji wa unga pale manyanyaa,polic wanamjua sema wanawaogopa kakazake nÀ yye mwenyew,hana hit track k hvo but anamkalisha blue k pesa mpka unathubutu kusema anauwezo wa kumtuma byser gazet,,,,Nyandu Toz manyanya sio mbali toka Obey,watch ya steps achana na cocktail,system @ work,tunawapenda.

ignore WAANDISHI WA SHIGONGO..
 
Dogo hamidu nae n gwiji wa unga pale manyanyaa,polic wanamjua sema wanawaogopa kakazake nÀ yye mwenyew,hana hit track k hvo but anamkalisha blue k pesa mpka unathubutu kusema anauwezo wa kumtuma byser gazet,,,,Nyandu Toz manyanya sio mbali toka Obey,watch ya steps achana na cocktail,system @ work,tunawapenda.

Duu yahitaji moyo !! Mi nimesoma weeee nikarudia weeeeee daaa !! Hii nafikiri ni fikizoro languaje !!
 
Duu yahitaji moyo !! Mi nimesoma weeee nikarudia weeeeee daaa !! Hii nafikiri ni fikizoro languaje !!
Mimi nmemuelewa Kiboko. Hawa wakina nyandu na blue huwezi kuwaelewa kama hujui mambo yanayo tendeka kwenye ile gari nyekundu ya blue na tule bonge anayependa jumuendesha blue wa pale magomeni. Wakina bitoz wanamtuma magazeti asubuhi kwa kuwa wanamzidi hela. Mia
 
Last edited by a moderator:
wivu wa kike..

Mkuu kunitukana mimi ni sawa na kunionea. Mimi nmelinganisha mashairi ya wimbo wake na nyimbo nyingine nikaona si chochote. Mimi naangalia ujumbe so hata ukiremba sauti mimi sijali. Mfano soma haya mashairi kidogo tu ya msanii Roma then ulinganishe na hayo ya blue.


" verse1 in 2030 by R.O.M.A

Huwezi kuijenga ROMA haikujengwa kwa siku moja
Iwe kwa raha leo au simba mtoto Tanga utakuja
Hata pancho pia ni mwamba ila bado ana kitaka kiuno
Kaskazini bila Tanga ni msondo bila gurumo
Alisema juu ya mwamba atalijenga kanisa na halitatikisika
Waumini tuianze misa
Wenye njaa kula kuku aliyechinjwa na padri au Allah
Adhana ikilia amka ukamuombe Allah
... We shehe mrudie mungu masanja kawa mchungaji
Sujudu maka na dina tajiri hataki kuhiji
Maulidi ubungo kibangu
Ndio mishahara ya madrasa
Ona rafiki wa padri kawa mhasibu wa kanisa
Wengi wanapeana kindugu mwanangu kuwa uyaone
Familia ilikata ringi na mama akabaki mjane
Sikuwa na damu ya kiarabu
Kwamba nitarithi mabasi
Dingi akutupa msingi ona gari tunaifanya tax
Tazama gongo la mboto mtoto
Kazaa mtoto na atalelewa na nani baba yake mmefunga keko
Wape buku waue winga wale watoto wa moroco
Mungu atazidi kulinda kesho utaiona sabato
Mzee wa bandari kastaafu kajenga banda la uani
Ana wake watatu je watoto watarithi nini
Ndio chanzo cha kurogana na kutupiana majini
Huyu akipandisha makata huyu maimuna subiyana
Maana pesa ndio ilifanya tusiwe na tanga ndugu
Pesa ilileta ubaguzi kati ya loyola na pugu
Pesa ndio ilichochea beef ya nice na dudu
Na pesa ndio ilimaliza beef ya ruge Na sugu"
mia
 
Je mashairi ya blue utayalinganisha na haya hadi mseme wimbo mkali? wimbo wa blue wakawaida sana. Yaani una mashairi mepesi halafu beat yake kasample. Huo wimbo wake mpya kama ni kugawa marks ningempa 35%.
Soma haya mashairi halafu ndo ucomment.

ROMA - Mathematics



It's beautiful day asalaam aleikhum Tanzania

Nimeshatikisa nyavu mimi ndo MVP
Wakakimbia depo kwa polisi wa ccp
Niliwapigisha kuruta kwata la JKT
Nna kipaji mimi kushinda cha T H T
Nawapangisha foleni kama bank ya NMB
Mimi nimesoma pcm sio PCB
So hata tufungwe mimi ni Arsenal sio MAN U
Kibonde we ni member wa loan board au TCU
Nchi imeuzwa vigogo wanapita ATM
Tuwakemee mafisadi wote wa ccm
kuvua gamba haiwasafishi mbele ya CUF
chadema mwone Makamba Jk kwa TFF
Sihitaji dancer wala mapanga yale ya TMK
Show zangu sio longolongo zile za Y2K
na sio bandia kama lile kontena la BOT
Situkuzi kilichofake kama TOT
Mimi ndio roma ntasimama kama KKT
Asante bongo makejoo na mongo TBT
Mistari yangu mitamu kama miwa ya TPC
Na kwa hizi flow mamc mtalazwa kcmc.

Kodi ya walalahoi pombe ya tra
Miili yao ndio biashara ndani ya bba
Fataki anatoa mkopo ndani ya TIA
Mimba hazina uhakika mpaka DNA
Mhaya ishike elimu
Msambaa auze matunda
Mpemba avue samaki
Mnyakyusa avune mpunga
Aah aaah yaah rock city mikono juu yeeah
Mbeya city mikono juu

Mwambieni hatukuogopa tabiri za shekhe Yahya
Mahuti yangetufika bila kumpinga Jakaya
Sisaliti sirudishi kadi ya chama ka Nakaya
bado ainingii akilini hukumu ya babu seya
Wagonjwa wanakufa mapokezi
Dokta anakunywa value

Wazazi wanakufa labour wengine ICU

Wagonjwa wanakufa mapokezi
Dokta anakunywa value
Wazazi wanakufa labour wengine ICU
Waambieni me mzalendo na hii ndo mbiu ya mgambo
Tanesco wakizima umeme hupitisha mzigo wa magendo
Harakati za dokta ricky katika kuinua michezo
Mama Terry wamemsaliti mwasiti wamempa Tangazo
Lady pepeta hawavai msema kwel samunge
Mipira Hawaitumii eti kwa babu kuna kikombe
Mafuta wanapandisha bei kisa wanamiliki sheli
Wachina wanawapa tenda si tunanyimwa vibali
Gongo la mboto wanalia
Misaada wamewatapeli
Bandugu bwaga manyanga
Ayaokote magufuli
Pesa za ujenzi wa shule kala na mkewe headmaster
Thamani ya mabango ya kampeni somesha watoto veta
Wanajiuliza dkt slaa ni wapi anapata data
Hatakama nimevaa mlegezo ikulu napiga chata
Ikulu wamejaa vibaka manzese wanawakamata
Makahaba wanaongezeka boom linapokata
wanauziana kwa minada mali za serikalini
Mhasibu anachek porn si tumepanga foleni
Mmakonde chonga vinyago
Muha avue dagaa
Mmasai alinde geti
Mnyamwezi aline asali
Aah aah yeah A city mikono juu yeaah
Yeeah Iringa mikono juu

Maemcee wanapata stress ROMA akitua ubungo
Tanga niliwafunga tatu nawafunga tano hapa bongo
wanafuga rasta ili wapate mademu wa kizungu
We mchaga kauze mitumba muziki
Ushakufunga pingu
Mistari yako meusi it's okey naipaka carolite
Katiba sio msaafu my people needs copyright
Vuta pumzi ya baba ila kwa pua ya kitusi
Na siachi kupiga goti mbele ya altare kasisi
Imamu akizini mjengoni usiukimbie msikiti
Padri akilala na sista aibadilishi ukatoliki
Hata gangstar ulegeza ulegeza macho ''waat'' ukimpa cotton buds
Mnakamata mateja wakati nyi ndo mnauza drugs
Ili ujue fegi imewaka lazma upige tafu
We baba usimtume mtoto aiwashe utamuua mapafu
Popote umuonapo ng'ombe jua hapakosi mmasai
Na Tongwe ndo ngome kongwe
Zanzibar msinitoe nishai
Ndoto zangu kitambo ilkua nije kuwa padri
Zikayeyuka nilipo puliziwa moshi wa weed
Naenda church naamka tena nasali
Napopote utakaponiona shingoni nimevaa rozali
Hip hop ni consious sio usharobaro kubeba nondo
Me natafuta pesa ya kula we unamchek tu alejandro
Unadhani utaandika nini kama sio hadithi za konongo
Me jamii inanihitaji kamuone babu wa loliondo
Magazeti yanauza kwa skendo za wasanii
Machinga wanauza copy cosota wamekula deal
Shabiki anaburn nyimbo na show anaingia free
Underground usile ada urekodi ongeza bidii
Mzaramo acheze vanga
Mkurya apige kwata
Mdigo atungue nazi
Msukuma achunge ng'ombe

Aah you know Tanga is mine
yeaah Tanga mikono juu. Mia
 
data unaposema Mr,Blue anajua unaniangusha,mi kwa hawa wasanii wa sasa namkubali Darasa[SUB]​[/SUB]

Ukiusikia huu wimbo wake unarelax. Uongo?

nishike mkono by Darasa ft Winnie


(intro;Winnie)
Nobody see me cry all I know
Nobody by my side Mungu nishike mkono

Nishike mkono

(verse1)
Mwili kama unavidonda ukinigusa tu naumia
Kichwani mzigo wa dhambi gunia kwa magunia
Dunia sinia pakua unachoweza
Rudisha kwenye njia walimwengu washanipoteza
Mpaka leo mwanangu yupo magereza
mtoto wa jirani anasomeshwa uingereza
baba ake athumani amekufa mvuvi wa pweza
wana utajiri wa imani masikini wa kifedha
Washanichimbia kaburi wanizike nahema
Washakata miti ya kivuri mifereji ya neema
Unaeza kuta unaemwamini ndio anakuwekea sumu
Hawana alama binadamu wanaokuja kukuhumu
Mwili umechoka naforce tu kuendelea
Mpaka naogopa wapi naenda kutokea
Hata nikiokoka nani ataniletea
Nisipotoka maisha yananitokea

(chorus:Winnie)
Nobody see me cry all I know
Nobody by my side Mungu nishike mkono
nishike mkono nishike mkono
nishike mkono nishike mkono
nishike mkono nishike mkono mkono

(bridge:Winnie)
kumekucha nipo njia panda sioni hata pa kuelekea
na kiza ndio kinatanda niendako nani wa kunipokea
nishike mkono nishike mkono
nishike mkono nishike mkono
nishike mkono nishike mkono mkono

(verse2)
unajikuta uko peke yako giza kubwa kwenye mtaa
huoni ndugu wala jamaa uliokuwa nao jana baa
mawazo ya karaa nafsi inakosa raha
upepo mkali na baridi bila koti la kiuvaa
unauliza mungu yu wapi akuonyeshe njia
kelele za uchungu na hakuna anayekusikia
usitamani kiatu changu ukikivaa hutembei
ikiwa siku mbaya ndio masaa hayatembei

(chorus:Winnie)
Nobody see me cry all I know
Nobody by my side Mungu nishike mkono
nishike mkono nishike mkono
nishike mkono nishike mkono
nishike mkono nishike mkono mkono

(verse3)
imagine maisha ya mtoto bila ya mzazi wa kumlea
nambie ndoto za wangapi mtaani zimepotea
imagine mzazi wa lulu maumivu aliyojibebea
sometime tunaishi nje ya malengo tumejiweka
kifuani kama kuna moto moyo wangu unaungua
maumivu nayoisi usitamani kuyajua
nashindwa kupiga hatua muoga nasua sua
maji yakiwa shingoni ndio tunakumbukaga dua
nashindwa kuchagua kati ya mvua na jua
kuna kitu kimemis nawaza kukigundua
natamani kuwa mtoto kibaya aiwez kuwa
vazi la dhambi nilovaa halitakati hata nikilifua
Mwili umechoka naforce tu kuendelea
Mpaka naogopa wapi naenda kutokea
Hata nikiokoka nani ataniletea
Nisipotoka maisha yananitokea
Mwili umechoka naforce tu kuendelea
Mpaka naogopa wapi naenda kutokea
Hata nikiokoka nani ataniletea
Nisipotoka maisha yananitokea

(chorus:Winnie)
Nobody see me cry all I know
Nobody by my side Mungu nishike mkono
nishike mkono nishike mkono
nishike mkono nishike mkono
nishike mkono nishike mkono mkono
Mia
 
Last edited by a moderator:
figganigga acha kujichanganya.. Blue huu wimbo wake maudhui yake tofauti kabisa na hiyo mistari ya ROMA..

THEME/CONTENT...
 
Last edited by a moderator:
figganigga acha kujichanganya.. Blue huu wimbo wake maudhui yake tofauti kabisa na hiyo mistari ya ROMA..

THEME/CONTENT...

Mkuu hata ubora ujumbe ni tofauti.
Nikubaliane na wewe kwamba kumlinganisha blue na rima ni sawa na kumuonea bkue. Sawa? huo wimbo wa blue hautofautiani na ule wa msanii nyasi wa mbagala. Mia
 
Last edited by a moderator:
Ukiusikia huu wimbo wake unarelax. Uongo?

nishike mkono by Darasa ft Winnie


(intro;Winnie)
Nobody see me cry all I know
Nobody by my side Mungu nishike mkono

Nishike mkono

(verse1)
Mwili kama unavidonda ukinigusa tu naumia
Kichwani mzigo wa dhambi gunia kwa magunia
Dunia sinia pakua unachoweza
Rudisha kwenye njia walimwengu washanipoteza
Mpaka leo mwanangu yupo magereza
mtoto wa jirani anasomeshwa uingereza
baba ake athumani amekufa mvuvi wa pweza
wana utajiri wa imani masikini wa kifedha
Washanichimbia kaburi wanizike nahema
Washakata miti ya kivuri mifereji ya neema
Unaeza kuta unaemwamini ndio anakuwekea sumu
Hawana alama binadamu wanaokuja kukuhumu
Mwili umechoka naforce tu kuendelea
Mpaka naogopa wapi naenda kutokea
Hata nikiokoka nani ataniletea
Nisipotoka maisha yananitokea

(chorus:Winnie)
Nobody see me cry all I know
Nobody by my side Mungu nishike mkono
nishike mkono nishike mkono
nishike mkono nishike mkono
nishike mkono nishike mkono mkono

(bridge:Winnie)
kumekucha nipo njia panda sioni hata pa kuelekea
na kiza ndio kinatanda niendako nani wa kunipokea
nishike mkono nishike mkono
nishike mkono nishike mkono
nishike mkono nishike mkono mkono

(verse2)
unajikuta uko peke yako giza kubwa kwenye mtaa
huoni ndugu wala jamaa uliokuwa nao jana baa
mawazo ya karaa nafsi inakosa raha
upepo mkali na baridi bila koti la kiuvaa
unauliza mungu yu wapi akuonyeshe njia
kelele za uchungu na hakuna anayekusikia
usitamani kiatu changu ukikivaa hutembei
ikiwa siku mbaya ndio masaa hayatembei

(chorus:Winnie)
Nobody see me cry all I know
Nobody by my side Mungu nishike mkono
nishike mkono nishike mkono
nishike mkono nishike mkono
nishike mkono nishike mkono mkono

(verse3)
imagine maisha ya mtoto bila ya mzazi wa kumlea
nambie ndoto za wangapi mtaani zimepotea
imagine mzazi wa lulu maumivu aliyojibebea
sometime tunaishi nje ya malengo tumejiweka
kifuani kama kuna moto moyo wangu unaungua
maumivu nayoisi usitamani kuyajua
nashindwa kupiga hatua muoga nasua sua
maji yakiwa shingoni ndio tunakumbukaga dua
nashindwa kuchagua kati ya mvua na jua
kuna kitu kimemis nawaza kukigundua
natamani kuwa mtoto kibaya aiwez kuwa
vazi la dhambi nilovaa halitakati hata nikilifua
Mwili umechoka naforce tu kuendelea
Mpaka naogopa wapi naenda kutokea
Hata nikiokoka nani ataniletea
Nisipotoka maisha yananitokea
Mwili umechoka naforce tu kuendelea
Mpaka naogopa wapi naenda kutokea
Hata nikiokoka nani ataniletea
Nisipotoka maisha yananitokea

(chorus:Winnie)
Nobody see me cry all I know
Nobody by my side Mungu nishike mkono
nishike mkono nishike mkono
nishike mkono nishike mkono
nishike mkono nishike mkono mkono
Mia
jamaa anajua na always anaongea points
 
Mkuu hata ubora ujumbe ni tofauti.
Nikubaliane na wewe kwamba kumlinganisha blue na rima ni sawa na kumuonea bkue. Sawa? huo wimbo wa blue hautofautiani na ule wa msanii nyasi wa mbagala. Mia

tuletee MASHAIRI MENGINE YA KU PARTY TUYALINGANISHE NA YA WIMBO WA BLUE.. WEKA MBALI CONSCIOUSS HIPHOP..
TUNAPARTY HAPA..
 
Back
Top Bottom