Mr. Blue: Mabinti walikuwa wanajipanga maskani kunisubiria, nachagua wa kuondoka nae

Sasa wewe mawazo ya mr. Blue unayahusisha na viwanda? Mr. Blue ndio mtunga sera?
 
viwanda vitajengwa na walioviahidi sio Mr. Blue
Ndo manaake, lakini kuna watu humu kikitokea kituko fulani au udhaifu wanahusisha serkali hata kama hakina uhusiano na uongozi, mfano huyo mr. Blue anaeleza mambo yake miaka ya nyuma ambapo hata awam ya tano haikuwepo, jitu linaibuka na kulazmisha mawazo ya mr. Blue kuwa ndio yenye tegemeo la kuleta viwanda awamu ya tano...
 
Ndio dada zenu walivyokuwa wakipigwa dude na mr blue kutokana na shobo zao za kupenda mastaa
 
Kama haya maneno kayasema kweli basi ni mpumbavuuuuu!
Ameshakuwa mume/baba.
Hizi mboyoyo za zamani hazina maana kwa sasa.
Kama mwanamke nisingependa kusikia mume wangu akiongelea upuuzi kama huu.
 
Alipata faida gani. Vitu vingine upuuzi mtupu. Hawaongezi lolote hawa viumbe wanakuharibia tu maisha.
 
Kesho kutwa ndio kilele cha maonyesho ya sabasaba!
 
Blue alikuwa HB sana enzi hizo anatoa blue blue kiss kiss mapozi hadi 2006 hivi nilimuona live alikuwa anapapatikiwa na mademu kinoma...kwa sasa u-HB kwisha.
 
Blue alikuwa HB sana enzi hizo anatoa blue blue kiss kiss mapozi hadi 2006 hivi nilimuona live alikuwa anapapatikiwa na mademu kinoma...kwa sasa u-HB kwisha.
Sasa HV u HB umeenda kwao kanenepa mishavu lol[emoji14] [emoji14] [emoji14]
 
ahaa blue, AMANI DSM, NYUMBANI DSM , RIP mama yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…