Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Wasalaam wana jamvi
Pamoja kuwa tumezawadiwa wasanii wengi sana wa muziki wa kizazi kipya nchini lakini ni wachache sana ambao kila mtu angependa kuwasikiliza au kuwasubiria watafanya nini wakiwa kwenye stage au wakiwa mbele ya mashabiki.....
Wasanii wetu wengi ni wajuvi wa kuimba kwenye radio tuu lakini wakiwa kwenye matamasha hutamani kuendelea kuwasikiliza kwani wengi wao pamoja na kuwa na nyimbo zinzo tamba lakini wakiwa kwenye stage wanakuwa wamepoa sana na huwaboa mashabiki sana tena sana na unaweza fikiri labda mashabiki hawamfahamu muhuisika....
Mr Blue ni mmoja ya wasanii ambao pengine wanaweza wasiwe wana sikika sana radioni au kutotoa nyimbo kila leo radioni lakini ukweli ni kwamba ana nguvu kubwa sana tena sana kuliko hata wasanii ambao kila leo husikika na nyimbo mpya radioni......
Nilipata wasaha kumshuhudia kwenye TV -E kwenye tamasha la komaa na mziki mnene yanayo andaliwa na E-fm kwakweli ni ukweli usiopingika kuwa Mr Blue ndiye msanii pekee wa bongo fleva anayeweza kupambana na wasanii wa singeli kwenye kuwapagawisha mashabiki kwenye matamasha......
Mr Blue ni msanii mwenye nguvu sana stageni kwakweli mwanzo nilikuwa nashangazwa na yeye kupewa show kila mara pamoja na kutokuwa na nyimbo mpya nyingi radioni au kutosikika sana radioni...... kwa jicho langu nimethibitisha ni msanii mkali sana stageni ukiwaacha wa singeli ambao kwakweli wanatoa upinzani mkubwa sana kwa wasanii wa bongo fleva.
Wasalaaam
Pamoja kuwa tumezawadiwa wasanii wengi sana wa muziki wa kizazi kipya nchini lakini ni wachache sana ambao kila mtu angependa kuwasikiliza au kuwasubiria watafanya nini wakiwa kwenye stage au wakiwa mbele ya mashabiki.....
Wasanii wetu wengi ni wajuvi wa kuimba kwenye radio tuu lakini wakiwa kwenye matamasha hutamani kuendelea kuwasikiliza kwani wengi wao pamoja na kuwa na nyimbo zinzo tamba lakini wakiwa kwenye stage wanakuwa wamepoa sana na huwaboa mashabiki sana tena sana na unaweza fikiri labda mashabiki hawamfahamu muhuisika....
Mr Blue ni mmoja ya wasanii ambao pengine wanaweza wasiwe wana sikika sana radioni au kutotoa nyimbo kila leo radioni lakini ukweli ni kwamba ana nguvu kubwa sana tena sana kuliko hata wasanii ambao kila leo husikika na nyimbo mpya radioni......
Nilipata wasaha kumshuhudia kwenye TV -E kwenye tamasha la komaa na mziki mnene yanayo andaliwa na E-fm kwakweli ni ukweli usiopingika kuwa Mr Blue ndiye msanii pekee wa bongo fleva anayeweza kupambana na wasanii wa singeli kwenye kuwapagawisha mashabiki kwenye matamasha......
Mr Blue ni msanii mwenye nguvu sana stageni kwakweli mwanzo nilikuwa nashangazwa na yeye kupewa show kila mara pamoja na kutokuwa na nyimbo mpya nyingi radioni au kutosikika sana radioni...... kwa jicho langu nimethibitisha ni msanii mkali sana stageni ukiwaacha wa singeli ambao kwakweli wanatoa upinzani mkubwa sana kwa wasanii wa bongo fleva.
Wasalaaam