Mr. Kuku afikishwa Mahakamani akikabiliwa na mashtaka saba ikiwemo kufanya Biashara Haramu ya Upatu kwa kukusanya bilioni 17

Huyu jamaa si aliwapa akina joti tenda yakutangaza biashara yake itakua kavuna pesa nyingi sana
Kabisa mkuu..Joti anatangaza kazi za makampuni makubwaa tu sasa ukiona anatangaza kazi ya Mtu binafsi jua mpunga wa maana umetokaa..
 
Pesa nyingi bila uhuru bora kuwa masikini, Financial freedom ndio lengo la kuwa na pesa nyingi nijichimbie nibadili sula yaani waliokuwa wananishuudia kwenye msoto siku nikioita na Roll Royce mtaani hawanijui shits.
 
Mtu Binafi ??

Kwani sio kampuni ile.
Kampuni ya Mr.Kuku mbona pale kakamatwa mtu mmoja[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yeye ndo mmiliki wa hiyo unayoiiya kampuni wengine vibara tu so Mr Kuku kampuni yake kuwa na uwezo wa kumlipa Joti sio kitoto
 
Kampuni ya Mr.Kuku mbona pale kakamatwa mtu mmoja[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu kakamatwa au anashitakiwa ??

Ok mbona tuna muonaga Max pekeeyake mahakamani.
 
Pesa nyingi bila uhuru bora kuwa masikini, Financial freedom ndio lengo la kuwa na pesa nyingi nijichimbie nibadili sula yaani waliokuwa wananishuudia kwenye msoto siku nikioita na Roll Royce mtaani hawanijui shits.
Nyinyi ndiyo akina Kasusura au wale wa kampuni ya ulinzi walioenda kukaa Mbagala ili wawatambie wananzengo.
 
Mambo mengine jamani, unaanzaje kufanya biashara bila kufahamu sheria ya nchi juu ya biashara husika inasemaje!

Halafu hawa celebrity entrepreneur hawa, binafsi siamini mtu kufanya biashara na kujinadi huku na kule, lazima kuna ka kitu ana kaanda.

Hawa vijana wana akili sana, hawajachagua kuzitumia vizuri na kwa usalama wao.
 
Mmiliki anaitwa Yona? Mafaili yake nimeshayaona.
 

Hivi ni kwanini mnakuwa wazito kuwatumia graduates wa sheria waliojazana mitaani ili wawasaidie kutafsiri sheria za biashara za nchi hii?

Ulishawahi kutafuta wawekezaji wa nje ya nchi hasa za magharibi? Kitu cha kwanza atakuuliza ni kuhusu sheria na sera za nchi yako juu ya uwekezaji mnaotaka kuufanya. Siamini bado kuwa hujaelewa ni kwani Mr.Kuku ana kesi ya kujibu.
 
Duuh msala sanaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hii Bongo leo hii ukitoa hata Mil 100 na huna vithibitisho vya biashara inayoendana na pesa hizo msalaaa.

Wala si bongo tu, sehemu zote kuna sheria ya pesa, ndio maana kuna backup ya black market huko unaweza kuzungusha fedha utakavyo, ukitaka mambo legal lazima uweze kujustify mambo kadha wa kadha. Kuzunguka zunguka na mahela ambayo huwezi kuyatolea ufafanuzi ni kutokuwa smart enough.
 
daa atakuja mwingine na Mr Mbuzi ataendelea kuwapiga tena mang'ombe hayaishi mjini kila siku yanazaliwa upya na hasa yale mavivu ya kufanya kazi...
 

Me naona cha muhim ni watanzania kuwa na subira kuliko kuanza kutoa shutuma za utapeli juu ya Mr kuku, maana katika mashtaka aliosomewa hakuna shitaka la kushindwa kulipa wawekezaji wake, na pia kama biashara watamfungia basi inabid waifungue account ya crdb ili iweze kurejesha pesa za wawekezaji maana zile pesa za umma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…