Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,654
Mr likwid haamini anachokiona injury mwaka mzima km amis tambweTeh teh teh huyo kweli mzee wa liquid
Kaka unapitwa na mengiYaani hata sijaelewa kitu kama unaitangaza liquid pub au unatujulisha kuwa mkuu alitafuna ka keki au nini maudhui ya uzi wako!?
Ujue koroshow bado haijafka hata katikati sasa na wewe unatuletea mambo ya kimiminika pab
Sio kila kitu ukijue mkuu kuna vingine ni heri kwako vikikupita bila kuvijua!Kaka unapitwa na mengi
Piere likwidi mwaka mpya anakula na king'amuzimzee wa konk fire kajipatia umaarufu kizembe sana kweli kuzaliwa mjini form six
Habari ya mjini"Liquid itakuwa juu kabisa, itafika mbinguni kabisa mawinguni, liquiiidiiii"
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sio kila kitu ukijue mkuu kuna vingine ni heri kwako vikikupita bila kuvijua!
Hiyo liquid pub ni ya pale opposite na chuo Cha uhasibu?
Huwa napaona tuu nikivuka zangu kurudi kigambonYeah
Huwa napaona tuu nikivuka zangu kurudi kigambon
Kumtumiaje?Huyu mzee na sifa zake mwache waendeleee kumtumia
Huyo ndio piere konki antena bila king'amuzi tehMzee Wa "mamaaa aiiiiiii, nakufaaaaa," anachekesha sana sura yake sasa liquid tupuu [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Poa. Mida ya wanga leo nitadrop onetime nitaste.Jisogeze hutajuta sehemu poa unakunywa huku macho yakifurahika