Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,271
- 1,052
sasa si kanisani wanaendaga asubuhi, usiku anakuwa hapao masai, na mimi nilimuona last week hapo Masai. Mbona wa kuokoka kihivyo wapo wengi tu, huwa ninakutana maskani moja na dokta remmy ongala, napiga zake urabu na bangi kisha anafanya na yale mamabo yetu kisha asubuhi anaenda kanisani kuchapa misa.
samahani nje ya mada kidogo!burn vipi tunaweza kuwasiliana?mimi ni msela tu wala usijali.ai mini mimi si yudabliyutiii.unaweza ni pm namba zako?mimi huwa najivuta pale mara moja moja