laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 10,003
- 9,755
inaonyesha ulivyo mjinga hiyo nyumba hata milioni 30 haifiki hiyo milioni 100 utaisikia redioni tuHakuna mchaga mjinga duniani.. Hiyo aliyoonesha Nice hapo kitu cha kawaida hata kwake..
Kubisha mtu kutokuwa na nyumba kama hiyo ni akili za ki maskini kabisa.
Maana nyumba kama hiyo mimi hata M 100 naifyatua.. Sasa M 100 kwa mtu mchacharikaji hapa na pale ndani ya miaka 3 kwanini usifanye mambo kama hayo?
Acheni akili za kimaskini.. Mambo madogo hayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukabila kila kitu, hakuna kabila lisilo na wajinga, labda wachaga wa huko unakokaa ila nilipo wapo wapuuzi kibaoHakuna mchaga mjinga duniani.. Hiyo aliyoonesha Nice hapo kitu cha kawaida hata kwake..
Kubisha mtu kutokuwa na nyumba kama hiyo ni akili za ki maskini kabisa.
Maana nyumba kama hiyo mimi hata M 100 naifyatua.. Sasa M 100 kwa mtu mchacharikaji hapa na pale ndani ya miaka 3 kwanini usifanye mambo kama hayo?
Acheni akili za kimaskini.. Mambo madogo hayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Watanzania mnapenda maendeleo lakini mnawachukia wenye maendeleo.Anatafuta kiki ana kibanda sio nyumba
Acha wivu wa kike.Ujumbe umejificha hapo kwenye familia yangu ilishajipanga! Nice hana nyumba ya kujenga au kununua yeye, asituletee usanii
Mnawatazamaga watu juu-juu alafu wakifunguka mnaishia kuumia roho namna hii.Nilijua tu ile kuonekana kwenye kideo cha Harmonize ni njia ya kurejea upya maskioni mwa watu, soon utasikia ametoa wimbo. Halafu nitakuwa wa mwisho kuamini hiyo nyumba ni ya Mr. Nice, japo haina kiwango ila kwa akili ya huyo jamaa hawezi kuwa na nyumba hata hiyo, labda itakuwa ya huyo mamaake
Sent using Jamii Forums mobile app
Na utakuta yeye anaishi kwa shemeji.We taulo ya kuogea hauna
Bodyspray mpk upite kwa mshkaji wako ujipulizie
Acha wivu wewe...
Hata kama ni kibanda THAMINI KITU CHAKO
Bora BASKELI YAKO KULIKO BMW YA BILLIGETS
baskeli yako itakusaidia hata kukusombea Maji
Hio BMW ya watu itakusaidia nini
Sent from Calculator Phone vesion007
Yanini unaanza kurusha ngumi ndugu.. Haina haja ya kunipandishia mapepo yako..... Kwani huwez kuongea mpaka uniite mjinga?inaonyesha ulivyo mjinga hiyo nyumba hata milioni 30 haifiki hiyo milioni 100 utaisikia redioni tu
Atawadanganya washamba wenzie kama weweAcha wivu wa kike.
Mwanaume kaonyeshwa vyake.
Wivu tu unakusumbua.. Huna lolote...Ukabila kila kitu, hakuna kabila lisilo na wajinga, labda wachaga wa huko unakokaa ila nilipo wapo wapuuzi kibao