Mr Nice awatolea povu wanaomsema vibaya aanika utajiri wake insta

Mr Nice awatolea povu wanaomsema vibaya aanika utajiri wake insta

Hakuna mchaga mjinga duniani.. Hiyo aliyoonesha Nice hapo kitu cha kawaida hata kwake..

Kubisha mtu kutokuwa na nyumba kama hiyo ni akili za ki maskini kabisa.

Maana nyumba kama hiyo mimi hata M 100 naifyatua.. Sasa M 100 kwa mtu mchacharikaji hapa na pale ndani ya miaka 3 kwanini usifanye mambo kama hayo?

Acheni akili za kimaskini.. Mambo madogo hayo

Sent using Jamii Forums mobile app
inaonyesha ulivyo mjinga hiyo nyumba hata milioni 30 haifiki hiyo milioni 100 utaisikia redioni tu
 
Hakuna mchaga mjinga duniani.. Hiyo aliyoonesha Nice hapo kitu cha kawaida hata kwake..

Kubisha mtu kutokuwa na nyumba kama hiyo ni akili za ki maskini kabisa.

Maana nyumba kama hiyo mimi hata M 100 naifyatua.. Sasa M 100 kwa mtu mchacharikaji hapa na pale ndani ya miaka 3 kwanini usifanye mambo kama hayo?

Acheni akili za kimaskini.. Mambo madogo hayo

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukabila kila kitu, hakuna kabila lisilo na wajinga, labda wachaga wa huko unakokaa ila nilipo wapo wapuuzi kibao
 
Kaandika kwa kutumia maneno ya kike sana,napata shida sana na huyu jamaa kama mamikunjo anayo.Mtoto wa kiume huwezi andika mfyuuuuuuuuuuuuuuu au kuongea hivyo

Ila dah bata kavaa nailoni iliniingia sana wakati huo🙂🙂
 
Nilijua tu ile kuonekana kwenye kideo cha Harmonize ni njia ya kurejea upya maskioni mwa watu, soon utasikia ametoa wimbo. Halafu nitakuwa wa mwisho kuamini hiyo nyumba ni ya Mr. Nice, japo haina kiwango ila kwa akili ya huyo jamaa hawezi kuwa na nyumba hata hiyo, labda itakuwa ya huyo mamaake

Sent using Jamii Forums mobile app
Mnawatazamaga watu juu-juu alafu wakifunguka mnaishia kuumia roho namna hii.

Wivu hukaa kifuani kwa mtu mjinga.
 
Bi mkubwaaa.

sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
 
Kwanini anahangaika na watu ambao hata hajawahi kuwaona? Hana sababu ya kuonesha nini anamiliki au nini hana [HASHTAG]#poornice[/HASHTAG]
 
We taulo ya kuogea hauna

Bodyspray mpk upite kwa mshkaji wako ujipulizie
Acha wivu wewe...
Hata kama ni kibanda THAMINI KITU CHAKO
Bora BASKELI YAKO KULIKO BMW YA BILLIGETS
baskeli yako itakusaidia hata kukusombea Maji
Hio BMW ya watu itakusaidia nini

Sent from Calculator Phone vesion007
Na utakuta yeye anaishi kwa shemeji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ningeshangaa kama angalia wa kwanza filisika kua kuweza kua na usimamizi mzuri kwa mtu mwenye kipaji cha mziki bila ya kuwa na usimazi wa kutosha ni changamoto sana. Jamaa alikosa mwongozo mzuri na yeye sio wa kwanza kuliko kumsema ni bora wataalamu wa masuala ya utawala wakawa wanawapa ushauri wasanii, wachezaji na wengineo. Sema wataalamu muache kuwapiga kwa mikataba ya kujinufaisha nyinyi kwa sana ndio maana wasanii hawataki kuwafuata iwe win to win situation
 
Bora alivyoonyesha mali zake watu walizidi
 
Back
Top Bottom