Mr Nice awatolea povu wanaomsema vibaya aanika utajiri wake insta

Mr Nice awatolea povu wanaomsema vibaya aanika utajiri wake insta

Wote wanaobisha wana akili za kimaskini.

Na haujui ni jinsi gani fikra za kudhani mwenzako hawezi kufanya jambo fulani ina athiri destiny pia ya maisha yako.

Ni sawa sawa na mtu kuwa unafikiria mafanikio yana hati miliki kitu ambacho sio kweli.

Kwenye kutafuta pesa hakuna hati miliki,,, utapata kadri unavotafuta na kadri unavoisumbua akili yako.

Period



Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa

"Life+time"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anatafuta kiki ana kibanda sio nyumba
aisee weka ya kwako hapa! si ajabu unaishi kwa shemeji yako...kujenga si kazi ya mchezo muwe mnaheshimu nyumba za watu ambazo mnaita vibanda! shame on u..
 
Nilijua tu ile kuonekana kwenye kideo cha Harmonize ni njia ya kurejea upya maskioni mwa watu, soon utasikia ametoa wimbo. Halafu nitakuwa wa mwisho kuamini hiyo nyumba ni ya Mr. Nice, japo haina kiwango ila kwa akili ya huyo jamaa hawezi kuwa na nyumba hata hiyo, labda itakuwa ya huyo mamaake

Sent using Jamii Forums mobile app

Jamaa hayuko makini kabisa, hata kudanganya kashindwa, eti familia ilishajipanga kitambo! Familia tena [emoji848]
Mtu mzima kama yeye akasifie vy kwao badala ya vyake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mnaojua tafsiri ya neno utajiri tunaomba msaada wenu, naona huku tunakoelekea mtu akiwa na vitu vyake kadhaa ataviita utajiri wake

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Muulize yule aliyetoa tafsiri ya kiwanda, hata ukiwa na nini sijui ila nne basi una kiwanda.......dadeki
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Muulize yule aliyetoa tafsiri ya kiwanda, hata ukiwa na nini sijui ila nne basi una kiwanda.......dadeki
11b05f582e3643cbb3ec9979ca67282b.jpg
 
Kaandika kwa kutumia maneno ya kike sana,napata shida sana na huyu jamaa kama mamikunjo anayo.Mtoto wa kiume huwezi andika mfyuuuuuuuuuuuuuuu au kuongea hivyo

Ila dah bata kavaa nailoni iliniingia sana wakati huo🙂🙂

Mkuu hata mimi nimepata tabu sana kuamini kuwa aliyeandika ni mwanaume
...mfyuuuu..... inaandikwa na mwanaume? Au kahama jinsia?
 
Nilijua tu ile kuonekana kwenye kideo cha Harmonize ni njia ya kurejea upya maskioni mwa watu, soon utasikia ametoa wimbo. Halafu nitakuwa wa mwisho kuamini hiyo nyumba ni ya Mr. Nice, japo haina kiwango ila kwa akili ya huyo jamaa hawezi kuwa na nyumba hata hiyo, labda itakuwa ya huyo mamaake

Sent using Jamii Forums mobile app
Si uweke yako ma wewe tuone


Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Muulize yule aliyetoa tafsiri ya kiwanda, hata ukiwa na nini sijui ila nne basi una kiwanda.......dadeki

Yule wa vyerehani vinne alivuta ugoro kabla hajaongea
 
Kwa hiyo moja kati ya Project zake ni kufuga kuku wa kienyeji?!
 
Duuuh,nakumbuka mwaka 2015 nilimkuta bar moja inaitwa usbon,iko geita!Jamaa akaimba nyimbo 3 kwa kununuliwa bia 4!Alikuwa kachoka mbaya!
 
Back
Top Bottom