Mkuu alikula bure bure papuchi yako nini?Hawezi kunilipia chochote Nice, ni mzugaji
Mkuu, katika dunia hii watu wasiojua kuimba ni wachache sana. Zamani hata watoto walitulia migongoni mwa mama zao wakiwa shambani ama kwenye shughuli zinazowachosha wao (kinamama) na watoto wao mgongoni kwakuimbiwa tu. Labda shida ni utunzi na namna ya kuwasilisha huo wimbo wenyewe. Ndio maana siku hizi cover zinafunika originalHajui kuimba.
Hahahaaha Dudubaya na ID nyengine[emoji16][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu!
Leo nilikua YouTube kutazama nyimbo za Mr Nice!, jamaa hamna kitu, makelele mengi kama mlevi.
Arudishe bando, mpuuzi yule, nadhani Kameta ndiye alitakiwa amiliki nyimbo, sio hili li jamaa, wimbo wa first lady linabweka bweka mbele ya demu mzungu.
Ndiyo maana umepotea! Majivuno tu. Umemponza hadi Alikiba, anajikuta msanii wa ulimwengu.
Pesa zilishaisha.
Miaka 30 ijayo watakuja watu pia watasema Diamondi alikuwa hajui mziki .Wakuu!
Leo nilikua YouTube kutazama nyimbo za Mr Nice!, jamaa hamna kitu, makelele mengi kama mlevi.
Arudishe bando, mpuuzi yule, nadhani Kameta ndiye alitakiwa amiliki nyimbo, sio hili li jamaa, wimbo wa first lady linabweka bweka mbele ya demu mzungu.
Ndiyo maana umepotea! Majivuno tu. Umemponza hadi Alikiba, anajikuta msanii wa ulimwengu.
Pesa zilishaisha.
Kwa miaka ile wengi tulimuelewa sanaa kuliko hata hizo jejee zenu na ndie alikua super star east africa. Sema teknolojia ilikua chini sana! Hata hao kina Jeje sijui Uno wakati wao ukipita wataonekana hovyo tuWakuu!
Leo nilikua YouTube kutazama nyimbo za Mr Nice!, jamaa hamna kitu, makelele mengi kama mlevi.
Arudishe bando, mpuuzi yule, nadhani Kameta ndiye alitakiwa amiliki nyimbo, sio hili li jamaa, wimbo wa first lady linabweka bweka mbele ya demu mzungu.
Ndiyo maana umepotea! Majivuno tu. Umemponza hadi Alikiba, anajikuta msanii wa ulimwengu.
Pesa zilishaisha.
Live band the legend Mr. Nice ft Fabrice
Wakuu!
Leo nilikua YouTube kutazama nyimbo za Mr Nice!, jamaa hamna kitu, makelele mengi kama mlevi.
Arudishe bando, mpuuzi yule, nadhani Kameta ndiye alitakiwa amiliki nyimbo, sio hili li jamaa, wimbo wa first lady linabweka bweka mbele ya demu mzungu.
Ndiyo maana umepotea! Majivuno tu. Umemponza hadi Alikiba, anajikuta msanii wa ulimwengu.