Mr. Nice hakujua mziki ni Upepo tu ulimpitia

Mr. Nice hakujua mziki ni Upepo tu ulimpitia

Ulishawahi kukutana na mtu ambaye humfahamu halafu ghafla anaanza kukutandika ngumi na mateke bila hata kukwambia kosa ninini? Mtoa mada umemvamia Mr Nice vibaya sana. Ungetwambia angalau chanzo cha ugomvi wenu
 
Ulishawahi kukutana na mtu ambaye humfahamu halafu ghafla anaanza kukutandika ngumi na mateke bila hata kukwambia kosa ninini? Mtoa mada umemvamia Mr Nice vibaya sana. Ungetwambia angalau chanzo cha ugomvi wenu
Hajui kuimba.
 
Hajui kuimba.
Mkuu, katika dunia hii watu wasiojua kuimba ni wachache sana. Zamani hata watoto walitulia migongoni mwa mama zao wakiwa shambani ama kwenye shughuli zinazowachosha wao (kinamama) na watoto wao mgongoni kwakuimbiwa tu. Labda shida ni utunzi na namna ya kuwasilisha huo wimbo wenyewe. Ndio maana siku hizi cover zinafunika original
 
Kwamba hujui mziki hubadilika kutokana na Muda ??


Kwa wakati ule ,huo ndo ulikua mziki unaobamba .



Funzo nikwamba, Unapoona umefanikiwa achana na mambo ya K, hakikishia unapigana kubakia au kusongo zaidi ya hapo ulipo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu!

Leo nilikua YouTube kutazama nyimbo za Mr Nice!, jamaa hamna kitu, makelele mengi kama mlevi.

Arudishe bando, mpuuzi yule, nadhani Kameta ndiye alitakiwa amiliki nyimbo, sio hili li jamaa, wimbo wa first lady linabweka bweka mbele ya demu mzungu.

Ndiyo maana umepotea! Majivuno tu. Umemponza hadi Alikiba, anajikuta msanii wa ulimwengu.



Pesa zilishaisha.


Kijana, kwenu hakuna wazee? Unapata wasaa wa kuongea nao na kujua maisha waliyoishi? Ungejifunza namna ya kuheshimu 'enzi' walizoishi waliotangulia!

Enzi hubadilika, heshimu enzi za Mr. Nice, sisi tuliokua nae tunaelewa namna alivyotufariji kwa namna ya pekee na mirindimo yake!
 
Wakuu!

Leo nilikua YouTube kutazama nyimbo za Mr Nice!, jamaa hamna kitu, makelele mengi kama mlevi.

Arudishe bando, mpuuzi yule, nadhani Kameta ndiye alitakiwa amiliki nyimbo, sio hili li jamaa, wimbo wa first lady linabweka bweka mbele ya demu mzungu.

Ndiyo maana umepotea! Majivuno tu. Umemponza hadi Alikiba, anajikuta msanii wa ulimwengu.



Pesa zilishaisha.
Miaka 30 ijayo watakuja watu pia watasema Diamondi alikuwa hajui mziki .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu!

Leo nilikua YouTube kutazama nyimbo za Mr Nice!, jamaa hamna kitu, makelele mengi kama mlevi.

Arudishe bando, mpuuzi yule, nadhani Kameta ndiye alitakiwa amiliki nyimbo, sio hili li jamaa, wimbo wa first lady linabweka bweka mbele ya demu mzungu.

Ndiyo maana umepotea! Majivuno tu. Umemponza hadi Alikiba, anajikuta msanii wa ulimwengu.



Pesa zilishaisha.

Kwa miaka ile wengi tulimuelewa sanaa kuliko hata hizo jejee zenu na ndie alikua super star east africa. Sema teknolojia ilikua chini sana! Hata hao kina Jeje sijui Uno wakati wao ukipita wataonekana hovyo tu
 
Wakuu!

Leo nilikua YouTube kutazama nyimbo za Mr Nice!, jamaa hamna kitu, makelele mengi kama mlevi.

Arudishe bando, mpuuzi yule, nadhani Kameta ndiye alitakiwa amiliki nyimbo, sio hili li jamaa, wimbo wa first lady linabweka bweka mbele ya demu mzungu.

Ndiyo maana umepotea! Majivuno tu. Umemponza hadi Alikiba, anajikuta msanii wa ulimwengu.

 

Attachments

  • Screenshot_20230323-035703~2.png
    Screenshot_20230323-035703~2.png
    238.5 KB · Views: 8
Huyu alichezea nafasi

Bonge la mshamba alafu

Ova
 
Back
Top Bottom