Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoma alizozirudia ni mbili tu Saida karoli na baba lao basi hizo unazosema ni nyingi ni zipi?Diamond ndo kazidi karudia mpaka ya Saida Karoli
Mbili ni chache?Ngoma alizozirudia ni mbili tu Saida karoli na baba lao basi hizo unazosema ni nyingi ni zipi?
Yani ni wasanii wengi wanachukua vionjo zaa nyimbo za wenzao yani ukianza kufuatilia utagundua karibia wote sema gundu likianza kukuandama kila mtu atakusema wewe yani naona Harmonize toka atoke WCB sijui ni kampeni sijui ni mkosi ila wanamuandamaUkiona msanii anachukua vionjo vya wasanii wenzake..ujue pumzi imekata sema ni kufosi kingi ili aendelee kuwepo..tunaita kutembelea nyota.
#MaendeleoHayanaChama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hadi sasa hiv diamond ana ngoma Si chini ya 90 za kwake alafu kufanya sample 2 tu ndo useme nyingi? Tutasema nyingi kwa msanii Kama Mario, harmonize, Lavalava ambao hawana muda mrefu kwenye game alafu hawana hit song nyingi so energy wanayo Kama watasample tutawashaa sana.Mbili ni chache?
Harmonize Ni mwiziYani ni wasanii wengi wanachukua vionjo zaa nyimbo za wenzao yani ukianza kufuatilia utagundua karibia wote sema gundu likianza kukuandama kila mtu atakusema wewe yani naona Harmonize toka atoke WCB sijui ni kampeni sijui ni mkosi ila wanamuandama
Mhh huyo mtu au faru.Naona unajiuzaView attachment 1320915
Mhh huyo mtu au faru.
Mayoo numbisa kinehe mayooTimu domo basi mmefurahiiii
#tuzoholaaaaa
Hiiiiiiiiiiiiiii harmonize anaimba manyimbo ya watu mayooMhola doho
ngoja nikusaidie kitu!. ile nyimbo ya Jay Z na Kanye West waliyoiita ORTIS ni nyimbo ya zamani ya Msanii anaitwa ORTIS REDINGTON!. Usirudie kusema kufanya sample ni pumzi kukata!.Ukiona msanii anachukua vionjo vya wasanii wenzake..ujue pumzi imekata sema ni kufosi kingi ili aendelee kuwepo..tunaita kutembelea nyota.
#MaendeleoHayanaChama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi jivamaa havijui kitu..
Ishu ni uwe tu umefuata utaratibu
Dj Khalid -Wild thoughts
Chris Brown-Undecided
Hizi zote pia ni sampling
Nyimbo nyingi zinazotoka lazima sampling au kuchukua mstari konzi mmoja wa nyimbo za zamani.ngoja nikusaidie kitu!. ile nyimbo ya Jay Z na Kanye West waliyoiita ORTIS ni nyimbo ya zamani ya Msanii anaitwa ORTIS REDINGTON!. Usirudie kusema kufanya sample ni pumzi kukata!.
Haya endeleeni ni Team zenu!.
Lakini Gigga hakukurupuka alifuata sheria zote za hakimiliki kwa uongozi wa 2Pac na record label iliyohusika ndo wakampa baraka za kupublish ile ngoma. Tuwe wakweli tu Harmonize kazingua na hii si mara ya kwanza tusimpe bichwa atapotea.Si kweli. Sampling kwenye muziki ni kitu cha kawaida sana.
Hivi Jay- Z alikuwa amekata pumzi alivyofanya ile '03 Bonnie and Clyde yenye vionjo vya me and my girlfriend ya pac?
Ni vile tu msanii amevutiwa na kionjo cha kazi ya mwenzie. Suala ni kufuata utaratibu.
I moved your cheese!
exactly waache sema fulani kuiga ni pumzi kukata bora waseme kuiba!.Nyimbo nyingi zinazotoka lazima sampling au kuchukua mstari konzi mmoja wa nyimbo za zamani.