Mr Nice: Sina UKIMWI ila nililishwa sumu wakati wa kampeni.

Tena inakuja sindano ya UKIMWI unachoma mara moja kwa mwaka, wala mambo ya kukutana kwenye kitengo inahusu?
Dada hiyo mboba tayari watu wanapiga moja kila baada ya miezi 6 nasikia ukipiga Mara 2 tu utashau kuumwa kabisa. Sema mpunga wake ndio balaa nadhani.
 
Hlf nlikuwa naskia hii story toka zamani kuwa eti bwana machache a.k.a mume wa kyln ni mwathirika, na ww ushawahi ckia hizo fununu? ni kwel au watu wanazusha 2 jamn Sky Eclat
 

Ahsante kwa maelezo yako maadam
 
Akifanikiwa asisahau kuwekeza kwani pesa hupotea bila kanuni
 
Tujikumbushe hii kauli tata ya marehemu mwanamuziki Diana Aston Villa kwa faida ya wote
 
Diana Aston Villa,yeye alipasua hadharani listi ya watakaomfuata,akiwemo Nice
Hivi haujawahi kuona mume au mke ameathirika lakini mwenzi wake anakutwa negative? Mimi nimesha shuhudia hili more than 5 times. Kwa hiyo hata kama Diana alikua ameathirika sio uthibitisho kwamba Nice na yeye moja kwa moja ameathirika. Je kuna anayejua (au hata yeye Diana mwenyewe ukute hakua anajua) Diana aliambukizwa lini? Before or after awe na Mr Nice? Msipende ku presume vitu. Diana inawezekana ndio alikufa kwa virusi lakini Mr Nice akawa hana virusi.
 
mie nimemkariri Diana tu dada,sijasema kwamba Nice kaathirika,mbona unakua mkali hivyoo!
 
Hataree mkuu vipi hizi kinga Condom zinasaidia mkuu?
 
We singizia sumu tu Mungu anakuona, halafu ni kwanini wasanii wa bongo wanakimbilia sana Kenya mambo yao yakichacha hapa bongo, huo ndio mtelemko ee? Kwanini hamkimbilii Uganda?
sababu ni kuwa wakenya wanaitafuta hela hadi hatua ya mwisho. Hawana huruma na mgonjwa wala teja. Huyo watamkamua hadi hatua ya mwisho kama walivyofanya kwa Ray C na Q chila. Akiwa hoi kabisa ndio watampandisha bus arudi bongo. Maana watampigisha hata kwenye vi Bup uchwala. Atajuta
 
Shida ni afya ya jamaa mgogoro ukichanganya na hayo ya akina Diana ndio kabisaa.....angekuwa yuko fresh hakuna mtu angejali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…