Mr Nice: Sina UKIMWI ila nililishwa sumu wakati wa kampeni.

Very sad
 
Sky Eclat
 
Hiyo picha na jaguar wamependeza sana,lakini naona kuna kitu hakipo sawa hapo angalia sura
 
Hlf nlikuwa naskia hii story toka zamani kuwa eti bwana machache a.k.a mume wa kyln ni mwathirika, na ww ushawahi ckia hizo fununu? ni kwel au watu wanazusha 2 jamn Sky Eclat

Mkuu sitakaa hata siku moja niseme Fulani anao, nitaongelea watu in general.
 
HATA HUYO MUANDISHI ALIE ULIZA HILO SWALI HANA MAADILI YA KAZI, UGONJWA HUWEZI KUUONA LABDA KIDONDA , UKIMWI HUWEZI KUUONA KWA MACHO WALA KWA KUJIBIWA SWALI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…