Mr Pompeo: Wenye kudhulumu haki ya kuishi wapo Minneapolis

Mr Pompeo: Wenye kudhulumu haki ya kuishi wapo Minneapolis

Unapohalalisha ukatili wa Makonda kwa refence ya kitoto kama hii wewe ni Zuzu.
Unaweza ukauthibitisha ukatili huo mbele ya vyombo vya sheria?, zaidi ya kusikiliza yanayosemwa na kuyaamini kama kasuku!?.
 
Unaweza ukauthibitisha ukatili huo mbele ya vyombo vya sheria?, zaidi ya kusikiliza yanayosemwa na kuyaamini kama kasuku!?.
Utendaji wa vyombo vya sheria ungekuwa hata robo ya Marekani ungekuwa na haki ya kuleta huu uji wako. Lakini mnaua mnapoteza ushahidi makusudi mchana kweupe halafu mnahoji tutoe ushahidi?
 
Violence zinaweza kuwa za miaka kumi iliyopita lakini mpaka leo hao hao weusi wanalalamikia systematic racism. Wanalalamikia uonevu wa mtu mweusi anapokuwa mikononi mwa polisi.

Pompeo aliongea kama monita au kiranja wa dunia kuhusu haki za binadamu, unyama aliofanyiwa Floyd umemuumbua.
Unaonaje mkianza kuzungumza ya Tanzania yanayowahusu na mkaachana na Askari wa Marekani ambao KIUKWELI THEY DON'T CARE AND LISTEN CHOCHOTE KUTOKA KWENU?
.
unaweza dhani ni utani ila hawajali kabisa chochote kinachozungumzwa kutoka nje ya hili taifa. Yani hata Dems wakikusikia unamsema Trumpna wala sio mmarekani watakwambia "Jali ya nchi yako, yakwetu hayakuhusu"
 
Hii takataka ingekuwa vyema umtumie kwenye email yake , humu huwa hapiti huyo. Polisi aliyeuwa hatua za kinidhamu na kisheria zinachukuliwa dhidi yake.

Je, wale waliomuua Akwilina mliwafanya nini!? Kwani Bashite lazima aende Marekani!? Mnawaita mabeberu huku bado mnajipendekeza kwenda kwao. Kwa nini msiende wa wazalendo uchwara wenzenu!? Sheeenzy sana.
Bashite ni mpumbavu pamoja na anayemtuma kuumiza watanzania
 
Utendaji wa vyombo vya sheria ungekuwa hata robo ya Marekani ungekuwa na haki ya kuleta huu uji wako. Lakini mnaua mnapoteza ushahidi makusudi mchana kweupe halafu mnahoji tutoe ushahidi?
Wazee wa kulialia katika ubora wenu.
 
Unaonaje mkianza kuzungumza ya Tanzania yanayowahusu na mkaachana na Askari wa Marekani ambao KIUKWELI THEY DON'T CARE AND LISTEN CHOCHOTE KUTOKA KWENU?
.
unaweza dhani ni utani ila hawajali kabisa chochote kinachozungumzwa kutoka nje ya hili taifa. Yani hata Dems wakikusikia unamsema Trumpna wala sio mmarekani watakwambia "Jali ya nchi yako, yakwetu hayakuhusu"
Tatizo ni kwamba hao wamarekani wanao vibaraka wao tunaoishi nao hapa TZ, neno la hao watu kwa vibaraka wao ni kama lililoandikwa ndani ya msahafu.

Nilifanya kuwakumbusha tu kuwa Mungu katika ukuu wake anagusa kila taifa kwa wakati auchaguao yeye mwenyewe.
 
Tatizo ni kwamba hao wamarekani wanao vibaraka wao tunaoishi nao hapa TZ, neno la hao watu kwa vibaraka wao ni kama lililoandikwa ndani ya msahafu.

Nilifanya kuwakumbusha tu kuwa Mungu katika ukuu wake anagusa kila taifa kwa wakati auchaguao yeye mwenyewe.
Unamaanisha mungu mtu uchwara mnayemuabudu aagizaye watu wapigwe na kupotezwa bila shaka.
 
Lumumba hamna akili kwa kweli. Huyo Pompeo unayemsema tayari Marekani wameshachukua hatua ya kuwafukuza kazi hao Askari Waane waliomuua George Floyd na wameshakifikishwa mahakamani. Nyie Makonda aliyewekewa travel ban mmemfanya nini????

Kweli Elimu ni Tatizo sana Bongo
Hahahaha wamemuua akwilina na askari waliomuua akwilina wame waficha.. Hawa ni watu wabaya sana
 
Niliusoma ule ujumbe wa waziri wa mambo ya nje wa Marekani kumhusu mkuu wa mkoa wa Dar juu ya watu kudhulumiwa haki ya kuishi, kichwani mwangu zikaja kila aina ya fikra. Zilikuwa ni tuhuma nzito zilihitimishwa kwa RC wa Dar kunyimwa haki ya kuingia Marekani.

Lakini kesho hakuna binadamu aijuaye namna inavyofanana. mapolisi wa Minneapolis wamemnyanyasa na kumnyima haki ya kuendelea kuishi George Floyd akiwa ni kijana wa miaka 46. Dunia nzima imeona tukio lote lililovyokuwa kwanza likirekodiwa na kamera za CCTV za jengo moja na pili kwa video fupi jongevu iliyochukuliwa na mpita njia.

Maandamano yanaendelea ulimwengu mzima, hasira zimewawaka watu wa kila rangi, watu weusi wakiwa ndio viongozi wa maandamano. Kule Uingereza wananchi wanaiangusha minara yenye kusimama kama kielelezo cha biashara za kitumwa.

Wamarekani wanabeba mabango yenye maandishi yasemayo DEFUND POLICE yaani bajeti zinazotengwa kwa ajiii ya polisi na zipitiwa upya, wengine wanashauri mifumo ya utendaji kazi ya polisi na yenyewe ipitiwe upya.

Siku zote kauli huwa zinaumba, Donald Trump na msaidizi wake Pompeo hawajifunzi lolote kuhusiana na hekima hii ya miaka na miaka, kwao kuongea mambo bila kuangalia madhara yake sio kitu muhimu.

Wenye kudhulumu haki ya kuishi ni polisi wa Marekani, kwani dhuluma yao inasababisha ulimwengu mzima kuandamana. Dhuluma ya Marekani ni mbaya sana kwani ni ya miaka na miaka, kule kwenye majimbo ya kusini yenye weusi wengi kumekuwa na sehemu ambazo mtu mweusi haruhusiwi kuvuka. Akithubutu basi haki yake ya kuishi inakuwa imechukuliwa bila ya ridhaa yake.

Yale maandishi ya Pompeo yenye kumuongelea RC wa Dar namna anavyodhulumu haki ya kuishi yamemgeuka yeye na bosi wake. Wao ndio wenye kudhuluma haki za watu za kuishi tena ni utamaduni wao kwa miaka zaidi ya mia nne.
Profesa wa kutetea ujinga . Habari za miaka mingi ?
 
Hata wale walevi wanaojikwaa kwenye ngazi saa nane usiku na wao ni maagizo yake kupigwa?.
Sawa walevi leteni cctv picha zenu mnazojidai mnazo nyie wendawazimu. Eti alikuwa amelewa, mkashindwa hata kumpiga picha!? Sheeenzy sana.
 
Sawa walevi leteni cctv picha zenu mnazojidai mnazo nyie wendawazimu. Eti alikuwa amelewa, mkashindwa hata kumpiga picha!? Sheeenzy sana.
Mzee wa bapa anatafuta huruma ya dunia 😂😂😂😂.
 
Tatizo la Marekani na Tanzania ni Marekani Polisi Wanaua bila kutumwa na wanasiasa ila Tanzania Police wanaua kwa kutumwa na wanasiasa.

Yaani kiufupi mauaji ya polisi Tanzania ni political idelogy matter ila US ni polisi anaua kwa msukumo wake mwenyewe sio kwa kutumwa na mtu tofauti na bongo ambapo mtu anaweza wahonga mapolisi na kuwapa vitu kibao ili waende kutekeleza matakwa yake. bashite ni gaidi.
Wafuate viongozi wa black lives matter au wale wa NAACP watakupa taarifa nyinginza unyama wa polisi wa Marekani ambazo huzijui.
 
Dunia nzima inaandamana kwa sababu haki ya kuishi ya George Floyd imedhulumiwa, hakuna anayeandama eti kwa kigezo cha RC wa Dar kudhulumu haki ya mtu ya kuishi, huo ushahidi upo wapi?. Unaweza kuwekwa hadharani kama ule wa mauaji ya Floyd ambao upo katika simu za watu?.
kama ulisoma vizuri ile statment yake, alisema wana ushahidi wa kutosha. Mngeamua kuchukua hatua mngeomba huo ushahidi ila mmekaa kimya mnaogopa wasije wakatoa ushahidi.
 
kama ulisoma vizuri ile statment yake, alisema wana ushahidi wa kutosha. Mngeamua kuchukua hatua mngeomba huo ushahidi ila mmekaa kimya mnaogopa wasije wakatoa ushahidi.
Siasa nyepesi. Kwanza wabadilishe mifumo ya utendaji kazi ya kipolisi ya huko kwao ndipo wawe na uhalali wa kimaadili wa kuongelea yanayofanyika katika mataifa mengine.

Walimuua yule muiran kiongozi wa jeshi kwa sababu ambazo ukizifuatilia kwa undani ni sawa na walizotumia kwa RC wa Dar ambazo ni sawa na walizotumia kuivamia Iraq mpaka kusababisha nchi imekuwa ni uwanja wa vita. Libya ina mwaka wa tisa ikiwa katika vita visivyojulikana vitamalizika lini sababu ni kama hizi hizi za kipuuzi za tuhuma zinazofuatiwa na unyama usioelezeka.
 
Mzee wa bapa anatafuta huruma ya dunia 😂😂😂😂.
Sawa kalewa, mkashindwa hata kumpiga picha!? Ila picha za yule mtoto Akwilina mliyemuua tunazo, ila za mlevi Mbowe hamna, porojo za kuhalalisha udhalimu dhidi ya utu. Ukaburu si mzungu kumkatili mweusi tu, hata nyie weusi mmekuwa makaburu wa kutesa weusi wengine.
 
Sawa kalewa, mkashindwa hata kumpiga picha!? Ila picha za yule mtoto Akwilina mliyemuua tunazo, ila za mlevi Mbowe hamna, porojo za kuhalalisha udhalimu dhidi ya utu. Ukaburu si mzungu kumkatili mweusi tu, hata nyie weusi mmekuwa makaburu wa kutesa weusi wengine.
Picha za Mbowe zimejaa mitandaoni akiwa kalala kitandani pembeni kakaa dada mmoja.

Jana mkuu wa nchi kampiga dongo aliposema dawa za kienyeji zinasaidia hata kama mguu umeteguka.

Pompeo alitaka kuleta utemi wa kifala lakini dhuluma imemgeuka yeye na bosi wake.
 
Picha za Mbowe zimejaa mitandaoni akiwa kalala kitandani pembeni kakaa dada mmoja.

Jana mkuu wa nchi kampiga dongo aliposema dawa za kienyeji zinasaidia hata kama mguu umeteguka.

Pompeo alitaka kuleta utemi wa kifala lakini dhuluma imemgeuka yeye na bosi wake.
Zinafanana na za yule ambaye picha yake ilimweka ndani Idris Bila shaka. Usisahau kumtumia email Pompeo. Makaburu hamtaki mshitakiwe, kwani mmekosa nini mpaka mshitakiwe, wakati wananchi wote wanawapenda!?
 
Back
Top Bottom