Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
- Thread starter
-
- #21
Unaweza ukauthibitisha ukatili huo mbele ya vyombo vya sheria?, zaidi ya kusikiliza yanayosemwa na kuyaamini kama kasuku!?.Unapohalalisha ukatili wa Makonda kwa refence ya kitoto kama hii wewe ni Zuzu.
Utendaji wa vyombo vya sheria ungekuwa hata robo ya Marekani ungekuwa na haki ya kuleta huu uji wako. Lakini mnaua mnapoteza ushahidi makusudi mchana kweupe halafu mnahoji tutoe ushahidi?Unaweza ukauthibitisha ukatili huo mbele ya vyombo vya sheria?, zaidi ya kusikiliza yanayosemwa na kuyaamini kama kasuku!?.
Unaonaje mkianza kuzungumza ya Tanzania yanayowahusu na mkaachana na Askari wa Marekani ambao KIUKWELI THEY DON'T CARE AND LISTEN CHOCHOTE KUTOKA KWENU?Violence zinaweza kuwa za miaka kumi iliyopita lakini mpaka leo hao hao weusi wanalalamikia systematic racism. Wanalalamikia uonevu wa mtu mweusi anapokuwa mikononi mwa polisi.
Pompeo aliongea kama monita au kiranja wa dunia kuhusu haki za binadamu, unyama aliofanyiwa Floyd umemuumbua.
Nina muonekano huo Sir, ila mimi ni msukumaWewe huko minesota? Basi utakuwa msomali
Bashite ni mpumbavu pamoja na anayemtuma kuumiza watanzaniaHii takataka ingekuwa vyema umtumie kwenye email yake , humu huwa hapiti huyo. Polisi aliyeuwa hatua za kinidhamu na kisheria zinachukuliwa dhidi yake.
Je, wale waliomuua Akwilina mliwafanya nini!? Kwani Bashite lazima aende Marekani!? Mnawaita mabeberu huku bado mnajipendekeza kwenda kwao. Kwa nini msiende wa wazalendo uchwara wenzenu!? Sheeenzy sana.
Wazee wa kulialia katika ubora wenu.Utendaji wa vyombo vya sheria ungekuwa hata robo ya Marekani ungekuwa na haki ya kuleta huu uji wako. Lakini mnaua mnapoteza ushahidi makusudi mchana kweupe halafu mnahoji tutoe ushahidi?
Tatizo ni kwamba hao wamarekani wanao vibaraka wao tunaoishi nao hapa TZ, neno la hao watu kwa vibaraka wao ni kama lililoandikwa ndani ya msahafu.Unaonaje mkianza kuzungumza ya Tanzania yanayowahusu na mkaachana na Askari wa Marekani ambao KIUKWELI THEY DON'T CARE AND LISTEN CHOCHOTE KUTOKA KWENU?
.
unaweza dhani ni utani ila hawajali kabisa chochote kinachozungumzwa kutoka nje ya hili taifa. Yani hata Dems wakikusikia unamsema Trumpna wala sio mmarekani watakwambia "Jali ya nchi yako, yakwetu hayakuhusu"
Unamaanisha mungu mtu uchwara mnayemuabudu aagizaye watu wapigwe na kupotezwa bila shaka.Tatizo ni kwamba hao wamarekani wanao vibaraka wao tunaoishi nao hapa TZ, neno la hao watu kwa vibaraka wao ni kama lililoandikwa ndani ya msahafu.
Nilifanya kuwakumbusha tu kuwa Mungu katika ukuu wake anagusa kila taifa kwa wakati auchaguao yeye mwenyewe.
Hahahaha wamemuua akwilina na askari waliomuua akwilina wame waficha.. Hawa ni watu wabaya sanaLumumba hamna akili kwa kweli. Huyo Pompeo unayemsema tayari Marekani wameshachukua hatua ya kuwafukuza kazi hao Askari Waane waliomuua George Floyd na wameshakifikishwa mahakamani. Nyie Makonda aliyewekewa travel ban mmemfanya nini????
Kweli Elimu ni Tatizo sana Bongo
Hata wale walevi wanaojikwaa kwenye ngazi saa nane usiku na wao ni maagizo yake kupigwa?.Unamaanisha mungu mtu uchwara mnayemuabudu aagizaye watu wapigwe na kupotezwa bila shaka.
Profesa wa kutetea ujinga . Habari za miaka mingi ?Niliusoma ule ujumbe wa waziri wa mambo ya nje wa Marekani kumhusu mkuu wa mkoa wa Dar juu ya watu kudhulumiwa haki ya kuishi, kichwani mwangu zikaja kila aina ya fikra. Zilikuwa ni tuhuma nzito zilihitimishwa kwa RC wa Dar kunyimwa haki ya kuingia Marekani.
Lakini kesho hakuna binadamu aijuaye namna inavyofanana. mapolisi wa Minneapolis wamemnyanyasa na kumnyima haki ya kuendelea kuishi George Floyd akiwa ni kijana wa miaka 46. Dunia nzima imeona tukio lote lililovyokuwa kwanza likirekodiwa na kamera za CCTV za jengo moja na pili kwa video fupi jongevu iliyochukuliwa na mpita njia.
Maandamano yanaendelea ulimwengu mzima, hasira zimewawaka watu wa kila rangi, watu weusi wakiwa ndio viongozi wa maandamano. Kule Uingereza wananchi wanaiangusha minara yenye kusimama kama kielelezo cha biashara za kitumwa.
Wamarekani wanabeba mabango yenye maandishi yasemayo DEFUND POLICE yaani bajeti zinazotengwa kwa ajiii ya polisi na zipitiwa upya, wengine wanashauri mifumo ya utendaji kazi ya polisi na yenyewe ipitiwe upya.
Siku zote kauli huwa zinaumba, Donald Trump na msaidizi wake Pompeo hawajifunzi lolote kuhusiana na hekima hii ya miaka na miaka, kwao kuongea mambo bila kuangalia madhara yake sio kitu muhimu.
Wenye kudhulumu haki ya kuishi ni polisi wa Marekani, kwani dhuluma yao inasababisha ulimwengu mzima kuandamana. Dhuluma ya Marekani ni mbaya sana kwani ni ya miaka na miaka, kule kwenye majimbo ya kusini yenye weusi wengi kumekuwa na sehemu ambazo mtu mweusi haruhusiwi kuvuka. Akithubutu basi haki yake ya kuishi inakuwa imechukuliwa bila ya ridhaa yake.
Yale maandishi ya Pompeo yenye kumuongelea RC wa Dar namna anavyodhulumu haki ya kuishi yamemgeuka yeye na bosi wake. Wao ndio wenye kudhuluma haki za watu za kuishi tena ni utamaduni wao kwa miaka zaidi ya mia nne.
Sawa walevi leteni cctv picha zenu mnazojidai mnazo nyie wendawazimu. Eti alikuwa amelewa, mkashindwa hata kumpiga picha!? Sheeenzy sana.Hata wale walevi wanaojikwaa kwenye ngazi saa nane usiku na wao ni maagizo yake kupigwa?.
Mzee wa bapa anatafuta huruma ya dunia ππππ.Sawa walevi leteni cctv picha zenu mnazojidai mnazo nyie wendawazimu. Eti alikuwa amelewa, mkashindwa hata kumpiga picha!? Sheeenzy sana.
Wafuate viongozi wa black lives matter au wale wa NAACP watakupa taarifa nyinginza unyama wa polisi wa Marekani ambazo huzijui.Tatizo la Marekani na Tanzania ni Marekani Polisi Wanaua bila kutumwa na wanasiasa ila Tanzania Police wanaua kwa kutumwa na wanasiasa.
Yaani kiufupi mauaji ya polisi Tanzania ni political idelogy matter ila US ni polisi anaua kwa msukumo wake mwenyewe sio kwa kutumwa na mtu tofauti na bongo ambapo mtu anaweza wahonga mapolisi na kuwapa vitu kibao ili waende kutekeleza matakwa yake. bashite ni gaidi.
kama ulisoma vizuri ile statment yake, alisema wana ushahidi wa kutosha. Mngeamua kuchukua hatua mngeomba huo ushahidi ila mmekaa kimya mnaogopa wasije wakatoa ushahidi.Dunia nzima inaandamana kwa sababu haki ya kuishi ya George Floyd imedhulumiwa, hakuna anayeandama eti kwa kigezo cha RC wa Dar kudhulumu haki ya mtu ya kuishi, huo ushahidi upo wapi?. Unaweza kuwekwa hadharani kama ule wa mauaji ya Floyd ambao upo katika simu za watu?.
Siasa nyepesi. Kwanza wabadilishe mifumo ya utendaji kazi ya kipolisi ya huko kwao ndipo wawe na uhalali wa kimaadili wa kuongelea yanayofanyika katika mataifa mengine.kama ulisoma vizuri ile statment yake, alisema wana ushahidi wa kutosha. Mngeamua kuchukua hatua mngeomba huo ushahidi ila mmekaa kimya mnaogopa wasije wakatoa ushahidi.
Sawa kalewa, mkashindwa hata kumpiga picha!? Ila picha za yule mtoto Akwilina mliyemuua tunazo, ila za mlevi Mbowe hamna, porojo za kuhalalisha udhalimu dhidi ya utu. Ukaburu si mzungu kumkatili mweusi tu, hata nyie weusi mmekuwa makaburu wa kutesa weusi wengine.Mzee wa bapa anatafuta huruma ya dunia ππππ.
Wewe mwenye huo ushahidi uweke hapa!Wafuate viongozi wa black lives matter au wale wa NAACP watakupa taarifa nyinginza unyama wa polisi wa Marekani ambazo huzijui.
Picha za Mbowe zimejaa mitandaoni akiwa kalala kitandani pembeni kakaa dada mmoja.Sawa kalewa, mkashindwa hata kumpiga picha!? Ila picha za yule mtoto Akwilina mliyemuua tunazo, ila za mlevi Mbowe hamna, porojo za kuhalalisha udhalimu dhidi ya utu. Ukaburu si mzungu kumkatili mweusi tu, hata nyie weusi mmekuwa makaburu wa kutesa weusi wengine.
Zinafanana na za yule ambaye picha yake ilimweka ndani Idris Bila shaka. Usisahau kumtumia email Pompeo. Makaburu hamtaki mshitakiwe, kwani mmekosa nini mpaka mshitakiwe, wakati wananchi wote wanawapenda!?Picha za Mbowe zimejaa mitandaoni akiwa kalala kitandani pembeni kakaa dada mmoja.
Jana mkuu wa nchi kampiga dongo aliposema dawa za kienyeji zinasaidia hata kama mguu umeteguka.
Pompeo alitaka kuleta utemi wa kifala lakini dhuluma imemgeuka yeye na bosi wake.