Mr Pompeo: Wenye kudhulumu haki ya kuishi wapo Minneapolis

Zinafanana na za yule ambaye picha yake ilimweka ndani Idris Bila shaka. Usisahau kumtumia email Pompeo. Makaburu hamtaki mshitakiwe, kwani mmekosa nini mpaka mshitakiwe, wakati wananchi wote wanawapenda!?
Na wananchi wanazidisha upendo kila wanapogundua kuwa yale yote yaliyokuwa ndio malalamiko yenu yanafanyiwa kazi kila kukicha.

Mnazidi kupoteza uhalali mbele ya watu makini, hata hizo siasa zenu nyepesi za kutafuta huruma zinagonga mwamba zikikosa mashiko.
 
Kwa hiyo uhalali unao wewe unayetunga sheria usishitakiwe!? Unakubalika na wananchi na unawatendea mema, hizo kinga za nini kama sio uhalifu unaoendelea!? Au kuna mwanachi /wananchi waliopendekeza hizo sheria!? Bado kumjengea kanisa na kumuabudu sasa , huyo pacha wake Yesu. Ni suala la muda tu. Lugola kashaonesha mfano.
 
Mmarekani mweusi mwingine kauwawa na polisi kwa kupigwa risasi, Pompeo hana mamlaka ya kunyooshea watu vidole wakati kwake hakuna haki za binadamu.

Na ushahidi wa unyama wake upo hadharani. Ngosha anapiga kazi inayoonekana hayo ya kusema anaabudiwa ni inferiority complex ya watu kama wewe.
 
MNAONEKANA MISHATI YA KIJANI YOTE MATOPE
 
Leo pacha wake Yesu mmemuabudia wapi!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…