pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 10,913
- 13,876
Mr t_touch awali alikuwa akifanya kazi na nay wa mitego katika studio za free nation ila aliamua kuondoka na kuanzisha studio yake inayojulikana Kama 'Touchez soud'
Touch ametayarisha asilimia kubwa ya nyimbo za nay wa mitego na kuondoka kwake ni pigo kubwa kwa msanii huyo.
Hizi ni baadhi ya nyimbo alizotengeneza siku za karibuni
1.angejua (dayna nyange)
2.chafu pozi (billinass)
3.Too much (DARASA)
4.Raha jipe mwenyewe (linah sanga)
5.jike shupa (nuh mziwanda)
Hizo ni chache ila zipo nyingi
Namtakia kila la kheri katika safari yake hii [HASHTAG]#touch[/HASHTAG] touch
Touch ametayarisha asilimia kubwa ya nyimbo za nay wa mitego na kuondoka kwake ni pigo kubwa kwa msanii huyo.
Hizi ni baadhi ya nyimbo alizotengeneza siku za karibuni
1.angejua (dayna nyange)
2.chafu pozi (billinass)
3.Too much (DARASA)
4.Raha jipe mwenyewe (linah sanga)
5.jike shupa (nuh mziwanda)
Hizo ni chache ila zipo nyingi
Namtakia kila la kheri katika safari yake hii [HASHTAG]#touch[/HASHTAG] touch