Mradi gani wa kiuchumi unaweza kuanzisha kwa kutumia fedha za mafao kiasi cha Tshs 90,000,000/-?

Mie ningependa kujua.

Hiyo pension ya kila mwezi huanza kutolewa kabla ya kupata lumpsum?

Au ni baada ya kupata lumpsum?
 
Mie ningependa kujua.

Hiyo pension ya kila mwezi huanza kutolewa kabla ya kupata lumpsum?

Au ni baada ya kupata lumpsum?
Kwa utaratibu unatakiwa kuanza kupata pension ya kila mwezi baada tu ya kustaafu ila kutokana na sababu mbalimbali wengine wanachelewa lkn lazima ulipwe zote.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]eti anafundisha kila mtu.
Kwa hyo ukikutana naye barabarani anakuita halaf anatoa lecture?
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]eti anafundisha kila mtu.
Kwa hyo ukikutana naye barabarani anakuita halaf anatoa lecture?
Ndio mkuu yani syllabus za Chemistry anakushushia bila kujua hayo madude una undugu nayo au huna
 
Fedha ya mafao ni kwa ajili ya kurepair mwili na kujitibu pale bima itakapofeli;na sio ela ya kufanyia biashara au mradi wowote.
 
Mkuu,Bi mkubwa aliamua kuwekeza kwenye nini baada ya maoni ya wadau? (Kama hutajali)
 

Hizi ndio plans zangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…