Mradi mkubwa wa kutengeneza jua kama chanzo cha Nishati huko Ufaransa waanza

Mradi mkubwa wa kutengeneza jua kama chanzo cha Nishati huko Ufaransa waanza

Mungu ametupa akili ili tuitumie ktk kutatua kila aina ya changamoto tunayokutana nayo, wazungu wanazitumia akili zao ipasavyo, acha sisi tuendelee kuomba na kukimbilia kwa manabii hata kwa mambo ya kutumia akili.
 
Hapana ni jua dogo ila litafanya kazi kama jua kubwa na kuzalisha unlimited clean energy.
Wasije wakatuletea majanga hawa wapuuzi! Kwa nini wasitafute teknolojia ya kulinyonya kutokea Afrika badala ya kutengeneza la kwao? Wanacholitafuta watakipata sasa hivi!
 
Wasije wakatuletea majanga hawa wapuuzi! Kwa nini wasitafute teknolojia ya kulinyonya kutokea Afrika badala ya kutengeneza la kwao? Wanacholitafuta watakipata sasa hivi!
Dah,Kweli wewe ni Mwafrika Halisi,Unaelewa wanachokifanya?Fungukeni tutabaki nyuma sana
 
wasomi wa tanzania wote wapo kwenye uzi wa kimasihara...wakiona hivi vitu wanaishia kutoa hoja za kike kupinga kwamba haiwezekani what the hell?...
Tanzania hatuna wasomi, tungekuwa na wasomi, ccm ingeshatoka madarakani.
Uwepo wa ccm madarakani ni ishara kwamba wasio wasomi ndio wapo wengi zaidi
 
Tanzania hatuna wasomi, tungekuwa na wasomi, ccm ingeshatoka madarakani.
Uwepo wa ccm madarakani ni ishara kwamba wasio wasomi ndio wapo wengi zaidi
Tanzania ikiwa na hata msomi mmoja mwenye mtazamo sahihi anaweza kuwa na nafasi ya kuleta mabadiliko
 
Meanwhile in China kuna ongoing project kubwa sana kuwahi kutokea ya nuclear fusion inayoendelea na zile fusion reactants zimeshakamilikia kabisa.
Habari Watanzania'

Mataifa zaidi ya 35 ulimwenguni mengi yakiwani ya Ulaya yameanzisha mradi mkubwa sana wa kutengeneza teknolojia kwa ajili ya kufua nishati kwa kutumia mbinu kama inayotumika na jua-Nuclear Fission.

Teknolojia hio inalenga kutengeneza clean energy na ni salama zaidi kuliko teknoljia nyingine.

Chanzo: BBC

Je, kama taifa habari kama hii inatuambia nini kuhusu uelekeo wa dunia? Ni wakati wa kuwa na maono makubwa
 
Meanwhile in China kuna ongoing project kubwa sana kuwahi kutokea ya nuclear fusion inayoendelea na zile fusion reactants zimeshakamilikia kabisa.
Hii ni habari nzuri pia,Sasa sijui sisi kama taifa tunaelekea wapi?
 
Mambo yote chini ya jua ni ubatili mtupu. Mhubiri
 
Meanwhile in China kuna ongoing project kubwa sana kuwahi kutokea ya nuclear fusion inayoendelea na zile fusion reactants zimeshakamilikia kabisa.
Wachina nilisikia wao wanatengeneza mwezi wao uwe unamulika nchi nzima usiku nadhani wana lengo la kung'oa taa zote za barabarani ukikamilika, sijajua wamefikia wapi? Miaka 50 ijayo huko angani miezi, ma jua, manyota na masayari ya kutengenezwa yatakua yanapishana tuu kama nini sijui..
 
Back
Top Bottom