BARA BARA YA 5
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 1,174
- 835
- Thread starter
- #61
Utafiti wangu unaendelea ndigu zangu,takwimu nilizopata so far ni kama ifuatavyo:
1.Msimu huu kuanzia /Desemba/Januari ndio ninunue ng'ombe,wananchi watakuwa hoi kwani hadi sasa debe la mahindi huko ni elfu 20.
2.Pia nimeshauriwa badala ya kununua majike,ni chukue hata madume yaliyokonda,nikileta hapa Pwani ndani ya miezi 3 yatabafilika na nikiuza nanunua majike yenye mimba.
3.Naendelea kumobilize fund.
Asante
1.Msimu huu kuanzia /Desemba/Januari ndio ninunue ng'ombe,wananchi watakuwa hoi kwani hadi sasa debe la mahindi huko ni elfu 20.
2.Pia nimeshauriwa badala ya kununua majike,ni chukue hata madume yaliyokonda,nikileta hapa Pwani ndani ya miezi 3 yatabafilika na nikiuza nanunua majike yenye mimba.
3.Naendelea kumobilize fund.
Asante