Mradi Ng'ombe wa Asili

Mradi Ng'ombe wa Asili

Utafiti wangu unaendelea ndigu zangu,takwimu nilizopata so far ni kama ifuatavyo:
1.Msimu huu kuanzia /Desemba/Januari ndio ninunue ng'ombe,wananchi watakuwa hoi kwani hadi sasa debe la mahindi huko ni elfu 20.
2.Pia nimeshauriwa badala ya kununua majike,ni chukue hata madume yaliyokonda,nikileta hapa Pwani ndani ya miezi 3 yatabafilika na nikiuza nanunua majike yenye mimba.

3.Naendelea kumobilize fund.

Asante
 
Utafiti wangu unaendelea ndigu zangu,takwimu nilizopata so far ni kama ifuatavyo:
1.Msimu huu kuanzia /Desemba/Januari ndio ninunue ng'ombe,wananchi watakuwa hoi kwani hadi sasa debe la mahindi huko ni elfu 20.
2.Pia nimeshauriwa badala ya kununua majike,ni chukue hata madume yaliyokonda,nikileta hapa Pwani ndani ya miezi 3 yatabafilika na nikiuza nanunua majike yenye mimba.

3.Naendelea kumobilize fund.

Asante
Huo utafiti uliufanyia mkoa gani?

#MaendeleoHayanaChama
 
Utafiti wangu unaendelea ndigu zangu,takwimu nilizopata so far ni kama ifuatavyo:
1.Msimu huu kuanzia /Desemba/Januari ndio ninunue ng'ombe,wananchi watakuwa hoi kwani hadi sasa debe la mahindi huko ni elfu 20.
2.Pia nimeshauriwa badala ya kununua majike,ni chukue hata madume yaliyokonda,nikileta hapa Pwani ndani ya miezi 3 yatabafilika na nikiuza nanunua majike yenye mimba.

3.Naendelea kumobilize fund.

Asante
Ni bora nimekutana na huu uzi maana nilikuwa kwenye mpango wa kuanza unenepeshaji wa ng'ombe wa asili.
 
Kununua Ankole mitamba sio mchezo,nabado inategemea yuko wapi sababu Ankole huwezi waleta hii mikoa kamekame
Ankole siyo ng'ombe wazuri kwa maziwa na gharama za kuwatunza ni kubwa sana kwa biashara ya kukuza na kuuza wako vizuri sokoni.

Wanachangamoto nyingi sana ambazo usipowavumilia unaweza kuacha kufuga.
1. Hawahimili magonjwa hata kupe Kumi tu wanaweza wakammaliza damu na akafa.

2. Wanahitaji walisho ya kutosha sana kwa mwaka mzima kwa maana hiyo ukilegea wanakonda na kufa.

3. Jike hawana maziwa mengi ukilinganisha na wengine.

4. Wanachukua interval kubwa sana kuzaa anaweza kuonyesha hata miaka miwili.

5. Wanapendelea malisho ya kwenye maji maji lakini wakati huo huo wanapata magonjwa ya kwato mara kwa mara.

6. Wakati wakiwa wachanga inabidi utumie dawa nyingi sana kuwahudumia ili wasidumae na kukua kwa haraka.

7. Kama una bucha yako hata nyama yake ni kamba tupu na mafuta hakuna utakimbiwa na wateja.

NB ila kwa sokoni ukiwakuza vizuri madume yanauzwa hadi million mbili plus.
 
Wakuu nimeamua kuchukua uamuzi wa kufuga ng'ombe wa asili na kuachana na hawa wa kisasa.
Nitaenda minada ta bara ninunue mitamba kama 50 yenye mimba/au iko tayari kupandwa kwa Sh 250,000 kila mmoja.

Baada ya mwaka nataraji kila mmoja azae na nianze kupata maziwa angalau kwa ng'ombe 30 x lita 2 = 60 litres.

Kwa hapa nilipo lita shs 1,200 hivyo tapata 72,000 kila siku.
Kama nitatengeneza mtindi na yoghurt nitapata hadi laki 1.5 kwa siku.

Kwa mwezi nitapata net ya kama 1.8m hivyo mradi utarejesha fesha ndani ya miaka 2.
Pia tauza mbolea na nyama mwaka wa 3 wa mradi na gharama za uendeshaji kama pumba nk zitapungua.
Utafiiti wangu umehitosheleza na sasa naingia kazini.
Ni wazo zuri sana ila jipange tu maana ufugaji sasa hivi malisho mtihani.
 
Kwanza kwa hiyo bei 250,000.00 kwa Mtamba sina hakika nayo HEBU FANYA RESEARCH ZAIDI isijekuwa bei ya mbuzi [pia fanya utafiti kuna ng'ombe wa kisukuma wa pembe fupi halafu kuna ankole yupi bora?]
Atleast aweke 350000 itawezekana kupata mitamba mizuri.
 
Sio kwamb Hana akili, sema tumshaur afuge nkole idea yake ni nzur
Ankole na kienyeji hawana tofauti sana kwenye maziwa

Na wingi wa maziwa unategemea factors nyingi kwa ng'ombe siyo breed tu.

Yawezekana ameangalia costs za ngombe wa kisasa akaona heri wa kienyeji.
 
Mwenzenu nafikiria kufunga kondoo Tu lakini kunenepesha ng'ombe NI kama kunanivutia. Wazoefu twambie kondoo Vs kunenepesha ng'ombe?
Inategemea na sehemu ulipo kama umeona soko la kondoo ni kubwa ni mradi poa tu kwanza kondoo wana gharama ndogo na hawashambuliwi magonjwa hovyo hovyo.

Kama uko sehemu kame zenye vichaka vidogo na nyasi fupi mbuzi na kondoo ni miradi bora zaidi kuliko ngombe soko la mbuzi ni zuri kuliko kawaida.

Kunenepesha ngombe ni mradi mzuri pia lakini uwe na chimbo la kuwapata hao wenye bei nafuu, uzingatie pia eneo unalowanenepeshea wanakula chakula cha kununuliwa tu au na nyasi asilia ?
 
Maharage wanalima Mbinga,kuanzia mwezi wa 4,5 nenda kanunue,ukitaka kulima maharage wanapanda mwezi wa 2, kutayarisha Shamba mwezi wa 1, mahindi kuvuna mwezi mwezi wa 6, kupanda Dec., mahindi wanalima kwa wingi Songea,Namtumbo na Mbinga,ardhi ipo ya kutosha Namtumbo na Songea.Malisho yapo kwa sababu karibu miezi 6 mvua inanyesha.
Usafirishaji Kuna lami mpaka wilayani ,magari (fuso) yapo.Ng'ombe na mbuzi hawapo kwa wingi,inaweza kuwa fursa ya kwenda kufuga na kuuza.
Kama una swali lingine uliza.
Vipi kwa maeneo ya Tunduru ?
 
Inategemea na sehemu ulipo kama umeona soko la kondoo ni kubwa ni mradi poa tu kwanza kondoo wana gharama ndogo na hawashambuliwi magonjwa hovyo hovyo.

Kama uko sehemu kame zenye vichaka vidogo na nyasi fupi mbuzi na kondoo ni miradi bora zaidi kuliko ngombe soko la mbuzi ni zuri kuliko kawaida.

Kunenepesha ngombe ni mradi mzuri pia lakini uwe na chimbo la kuwapata hao wenye bei nafuu, uzingatie pia eneo unalowanenepeshea wanakula chakula cha kununuliwa tu au na nyasi asilia ?
Kati ya chakula cha kununuliwa na nyasi asilia kipi ni kizuri?
 
Hii huwaje Mzee naona hii Mimi itanifaa sitaki mambo mengi
Unanunua ng'ombe waliokondakonda, unawapiga vitamins, dawa za minyoo na chanjo mbalimbali.
Unawalisha msosi maalum wa kunenepesha (nyasi na chakula mchanganyiko). Baada ya miezi michache wananenepa unawauza. Unaweza kununua ng'ombe aliyekonda kwa laki 4 ukaja kumuuza laki 7.
Ila ni muhimu kuwa na Shamba lako lenye nyasi nzuri zinazopendekezwa.
Uwe na josho, na huduma nyingine.
 
Unanunua ng'ombe waliokondakonda, unawapiga vitamins, dawa za minyoo na chanjo mbalimbali.
Unawalisha msosi maalum wa kunenepesha (nyasi na chakula mchanganyiko). Baada ya miezi michache wananenepa unawauza. Unaweza kununua ng'ombe aliyekonda kwa laki 4 ukaja kumuuza laki 7.
Ila ni muhimu kuwa na Shamba lako lenye nyasi nzuri zinazopendekezwa.
Uwe na josho, na huduma nyingine.
Mh, kw.mfano tayari niemununua ng'ombe wa asili tayari na chakula chao ninategemea niwe nawapeleka uwandani wanajilisha na jioni wanarudishwa bandani, je napaswa kufanya nini ili niweze kuwanenepesha? Naomba msaada wa kimawazo na kitaalamu pia na uzoefu kama unao naomba kujuzwa
 
Back
Top Bottom