Kwasisi huku mbeya huwa tumaaminia kufuga ng'ombe wa kisasa.... zero grazing... ( Kufugia bandani).... that's y Kuna muda waziri mkuu aliwahi kuja mbeya alishangaa haoni ng'ombe ......but anaambiwa mbeya Ni miongoni mwa mikoa inayoongoza kwa udhalishaji wa maziwaOngezea nyama hapa Mkuu tafadhali
Nenda kalime Songea vijijini , maharage nako yanastawi, Alizeti inastawi maeneo mengi Tanzania tatizo ni mvua, haitaki mvua nyingi na ndiyo maana inastawi kwa wingi Dodoma na Singida ambako ni nusu jangwa.Sehemu zenye mvua nyingi alizeti inatakiwa ilimwe mwishoni mwa mvua,mfano mikoa ya Nyanda za juu kusini mvua zinaanza mwezi wa 12 zinaisha mwezi wa tano,kwahiyo inatakiwa upanda alizeti mwezi wa 3,haya ni maelezo ya jumla ukifika Kijiji husika unaweza kuwauliza wenyeji mvua zinaanza lini na zinaisha lini ,kwa sababu baadhi ya maeneo zinaweza kuanza mwezi wa 12 mwanzoni,kwingine mwezi wa 12 mwishoni na kuisha labda mwezi wa tano mwanzoni au mwezi wa tano mwishoni.
250000 ?? Mtamba?? Wenye Mimba?????Wakuu nimeamua kuchukua uamuzi wa kufuga ng'ombe wa asili na kuachana na hawa wa kisasa.
Nitaenda minada ta bara ninunue mitamba kama 50 yenye mimba/au iko tayari kupandwa kwa Sh 250,000 kila mmoja.
Baada ya mwaka nataraji kila mmoja azae na nianze kupata maziwa angalau kwa ng'ombe 30 x lita 2 = 60 litres.
Kwa hapa nilipo lita shs 1,200 hivyo tapata 72,000 kila siku.
Kama nitatengeneza mtindi na yoghurt nitapata hadi laki 1.5 kwa siku.
Kwa mwezi nitapata net ya kama 1.8m hivyo mradi utarejesha fesha ndani ya miaka 2.
Pia tauza mbolea na nyama mwaka wa 3 wa mradi na gharama za uendeshaji kama pumba nk zitapungua.
Utafiiti wangu umehitosheleza na sasa naingia kazini.
Ankole anatoa Lita ngapi na Yale mapembe makubwa vile?Sio kwamb Hana akili, sema tumshaur afuge nkole idea yake ni nzur
Miezi 4 ya wapi wakati ni miezi 6-8?Tofaut y ng'ombe na kondoo ni kwamb ng'ombe mmoja atazalisha faida kuanzia 250000-300000 kw muda wa miez minne wakat kondoo atakupa 20,000 hapo kajitahd sana
Mambo ya Rungwe/TukuyuKwasisi huku mbeya huwa tumaaminia kufuga ng'ombe wa kisasa.... zero grazing... ( Kufugia bandani).... that's y Kuna muda waziri mkuu aliwahi kuja mbeya alishangaa haoni ng'ombe ......but anaambiwa mbeya Ni miongoni mwa mikoa inayoongoza kwa udhalishaji wa maziwa
Faida zake
Unakuwa na ng'ombe wachache ambao wanazaoisha maziwa kwa wingi
Shughuli zako hazikwami....
Rahisi kumanage mifugo...