BARA BARA YA 5
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 1,174
- 835
Wakuu nimeamua kuchukua uamuzi wa kufuga ng'ombe wa asili na kuachana na hawa wa kisasa.
Nitaenda minada ta bara ninunue mitamba kama 50 yenye mimba/au iko tayari kupandwa kwa Sh 250,000 kila mmoja.
Baada ya mwaka nataraji kila mmoja azae na nianze kupata maziwa angalau kwa ng'ombe 30 x lita 2 = 60 litres.
Kwa hapa nilipo lita shs 1,200 hivyo tapata 72,000 kila siku.
Kama nitatengeneza mtindi na yoghurt nitapata hadi laki 1.5 kwa siku.
Kwa mwezi nitapata net ya kama 1.8m hivyo mradi utarejesha fesha ndani ya miaka 2.
Pia tauza mbolea na nyama mwaka wa 3 wa mradi na gharama za uendeshaji kama pumba nk zitapungua.
Utafiiti wangu umehitosheleza na sasa naingia kazini.
Nitaenda minada ta bara ninunue mitamba kama 50 yenye mimba/au iko tayari kupandwa kwa Sh 250,000 kila mmoja.
Baada ya mwaka nataraji kila mmoja azae na nianze kupata maziwa angalau kwa ng'ombe 30 x lita 2 = 60 litres.
Kwa hapa nilipo lita shs 1,200 hivyo tapata 72,000 kila siku.
Kama nitatengeneza mtindi na yoghurt nitapata hadi laki 1.5 kwa siku.
Kwa mwezi nitapata net ya kama 1.8m hivyo mradi utarejesha fesha ndani ya miaka 2.
Pia tauza mbolea na nyama mwaka wa 3 wa mradi na gharama za uendeshaji kama pumba nk zitapungua.
Utafiiti wangu umehitosheleza na sasa naingia kazini.