lolypop
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,430
- 1,688
Jamani mimi sijaelewa, ina maana mradi wa bwawa la kufua umeme unaachwa katikati? Au vyote vitafanyika kwa pamoja?
Kumbuka watumishi wameishi kwa taabu ya mishahara kwa 5yrs ili mradi wa umeme uendelee, hivyo kuuuacha ni sawa na kufuja hela za watumishi
Kumbuka watumishi wameishi kwa taabu ya mishahara kwa 5yrs ili mradi wa umeme uendelee, hivyo kuuuacha ni sawa na kufuja hela za watumishi