Mradi wa bomba la gesi asili toka Tanzania kwenda Kenya

Mradi wa bomba la gesi asili toka Tanzania kwenda Kenya

Nimeomba usaidizi, subiri utapata jibu, mimi sijakuelewa.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Stop acting up. My question was simple, straight and forward. Ulisema eti Kenya misitu inakatwa kwa kasi kwa sababu watu wengi wanategemea kuni na mkaa. Ndio maana nikakuuliza unipe taarifa kuhusu percentage ya watanzania wanaotunia kuni Kama primary source ya energy for cooking so that we can compare the same with Kenya. Ni kipi hujaelewa hapo?
 
Stop acting up. My question was simple, straight and forward. Ulisema eti Kenya misitu inakatwa kwa kasi kwa sababu watu wengi wanategemea kuni na mkaa. Ndio maana nikakuuliza unipe taarifa kuhusu percentage ya watanzania wanaotunia kuni Kama primary source ya energy for cooking so that we can compare the same with Kenya. Ni kipi hujaelewa hapo?
Tony254, unakumbuka nini niliandika ili kuonyesha kwamba bomba la gesi kwa Kenya ni muhimu na wewe ukaunga mkono kuonyesha umuhimu wa gesi kwa Kenya?.

Hii ndio shida tunayoipata kujadiliana na wakenya, nadhani hata wewe Tony254 unaanza kugundua ugumu uliopo ktk kujadiliana na hawa jamaa zako.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Tony254, unakumbuka nini niliandika ili kuonyesha kwamba bomba la gesi kwa Kenya ni muhimu na wewe ukaunga mkono kuonyesha umuhimu wa gesi kwa Kenya?.

Hii ndio shida tunayoipata kujadiliana na wakenya, nadhani hata wewe Tony254 unaanza kugundua ugumu uliopo ktk kujadiliana na hawa jamaa zako.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Huyo ameumia ulipompa ukweli kuhusu matumizi yaliyopitiliza ya kuni kwa Wakenya [emoji3][emoji3]
 
nlichokiona ad asiv wote mpo sawa maana mifumo yote inaweza kufanya kazi sawa tuu tofauti ni geographical and economical factors

af vipi tukiamua kusambaza gas kwa mabomba to nchi znazotuzunguka badala ya kusubiri lng plant=overseas)apa kiuchumi imekaaje?
 
nlichokiona ad asiv wote mpo sawa maana mifumo yote inaweza kufanya kazi sawa tuu tofauti ni geographical and economical factors

af vipi tukiamua kusambaza gas kwa mabomba to nchi znazotuzunguka badala ya kusubiri lng plant=overseas)apa kiuchumi imekaaje?
Njia bora na nafuu duniani kote ni kusambaza kwa njia ya bomba, tatizo ni kuifikisha katika masoko ya mbali ambako huko ndiko unakotumika kwa wingi, hapo ndio tunalazimika kutafuta wawekezaji ili wajenge kiwanda cha LNG ili iweze kusafirushwa kwenda Ulaya, China na Marekani.

Hapa nchini na nchi za jirani, kitu muhimu ni kujenga mabomba ili kutumia CNG moja kwa moja toka mtwara ili kupunguza gharama zitokanazo na na mlolongo mzima wa Kuigeuza kuwa LNG, kuisafirisha na mitungi ambayo ni ghali Sana.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Tanzania is actually aiming to export their natural gas through Mombasa port. That`s the main reason for that pipeline.
 
Tanzania is actually aiming to transport their natural gas through Mombasa port. That`s the main reason for that pipeline.
kabisa sasa msituangushe tulijenge chapchap tuwape deal la LNG hapo Mombasa!
 
Tanzania is actually aiming to transport their natural gas through Mombasa port. That`s the main reason for that pipeline.
Hahahaha, hahahaha, hahahaha, hapo ndipo ninapowapenda majirani zetu, by the way leo nimeamua kufunga ili kuungana na ninyi katika maombi [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
nlichokiona ad asiv wote mpo sawa maana mifumo yote inaweza kufanya kazi sawa tuu tofauti ni geographical and economical factors

af vipi tukiamua kusambaza gas kwa mabomba to nchi znazotuzunguka badala ya kusubiri lng plant=overseas)apa kiuchumi imekaaje?
Kusambaza kwa mabomba nchi za jirani zote ... Hiyo gharama ya kujenga mabomba yote hayo haiwezi kutosha kujenga kiwanda cha LNG? Jus asking

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
 
Hahahaha, hahahaha, hahahaha, hapo ndipo ninapowapenda majirani zetu, by the way leo nimeamua kufunga ili kuungana na ninyi katika maombi
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png


Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app

Sawa sawa unalosema,[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
YOu are actually exporting through Mombasa port.
 
Kusambaza kwa mabomba nchi za jirani zote ... Hiyo gharama ya kujenga mabomba yote hayo haiwezi kutosha kujenga kiwanda cha LNG? Jus asking

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app

LNG plant gharama yake ni $30 bln wakati bomba la Uganda halizidi $3.5 bln pia hili la Dar-Tanga-Mombasa ni $1 bln! Ujishughulishe kidogo kufanya research!
 
LNG gharama yake ni $30 bln wkati mbomba la Uganda halizidi $3.5 bln wakati hili la Dar-Tanga-Mombasa ni $1 bln! Ujishughulishe kidogo kufanya research!
Sio hivyo tu, hata tukipewa bure hicho kiwanda cha LNG, gharama za kuitengeneza, kuisafirisha na kuhifadhi na kumfikisha mlaji ni ghali mno, zaidi ya LPG ambayo bado hiyo LPG waafrika wengi hawana uwezo wa kuitumia.

Vipi kuhusu viwanda na uzalishaji wa umeme kwa kutumia gas, itawezekana kwa kutumia LNG?. Kiwanda cha Mtwara cha LNG kinalenga soko la nje zaidi.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom