Mradi wa Bwawa la Nyerere(MW 2115) upo nyuma kwa asilimia 44, nguvu zimeelekezwa kwenye gesi (MW 1600)

Tuna waziri kilaza tokea aitoe kauli yake hii "zamani umeme ulikuwa haukatiki sababu kulikuwa hamna schedule maintenance " ni kaona hatuna waziri.Sijui katuona vilaza kama yeye. Hiko kijenereta ukiache kioperate kwa miezi kazaa bila maintenance lazima kibume.

Ila uzuri yy mwenyewe alikubali zamani umeme ulikuwa haukatika, alivyo ingia yy hizi ngonjera zimeanza mara schedule maintenance, mara wafanyakazi walikuwa wanashindwa kufanyakazi sababu walikuwa wanafokewa, mara crane la tani 27 hatuna, mara kakodi chopa kukagua vyanzo vya maji nk yaani upuuzi upuuzi mwingi vitendo hamna,mgao hauelewiki ni wa masaa mangapi na wa siku zipi.

Mimi naona bwawa hili waziri anataka kulipiga chini so alipige chini na ikiwezekana kabla hajalipiga chini awakabidhi watu wanao deal na maswala ya utalii liwe kama sehemu ya utalii na kivutio (makumbusho) ili turuhusiwe na familia zetu tukapige picha, inaweza kusaidia kurudisha gharama za ujenzi zilizo tumika kidogo kidogo na hao wakandarasi awaondoe awalipe hela yao,maisha ya endelee na waendelee kufanya watakacho.

Nchi tena ni yao wao na familia zao na sitegemi kilaza MWEZI WA KWANZA KUTUMBULIWA cha msingi tutafute Majenereta au solar maisha ya endelee.
 
Kwa hiyo unashauri nini? Hivi ambae aliwajaza mavi vichwani ni nani?

Ukiacha makaa ya mawe ni nishati ipi inatumika na viwanda Duniani kote kama sio gas?.

Na ulivyo kiazi wewe mtoa mada na wajinga wenzako,hadi leo hii hujui kwamba 60% ya umeme wote wa Tzn unatokana na gas 😁😁

Pili msijidanganye kwamba eti Bwawa la Nyerere likikamilika ndio mtauziwa umeme Kwa bei ya bure,sahau,

tunza hii kauli yangu maana naona ushabiki maandazi umekomaa Sana.

By the way kwa mujibu wa Makamba Bungeni Jana amesema siku anaingia kazini alishaambiwa kwamba Bwawa la umeme limechelewa kwa siku zaidi ya 447,mwaka na zaidi.

Pili akawahoji kwamba how comes shida ya umeme iwe zigo la Waziri badala ya Nchi kutafuta namna nzuri ya kutatua matatizo?
 
Mradi ulianza kitapeli, Kalemani na JPM walikata miti milioni moja, wakauza na Hela wamekula, nikisema miti, namaanisha Ile ambayo haijawahi kukatwa tangu dunia iumbwe
Maneno ya kitoto sana haya,utajenga bila kusafisha site.
 
[emoji2221][emoji2221][emoji2221][emoji2221]
 
Sijui nikutusi???
 
Mradi ulianza kitapeli, Kalemani na JPM walikata miti milioni moja, wakauza na Hela wamekula, nikisema miti, namaanisha Ile ambayo haijawahi kukatwa tangu dunia iumbwe
Watakuwa walipiga hela ndefu
Nalog off
 
Suala la kwamba wasio na mabwawa wanatumia gas kama mbadala sio shida, shida ni kwa sisi wenye chanzo cha maji kuacha kuliendeleza kwa maendeleo yetu. Suala labei kutoshuka itakuwa ni siasa mbovu tu, ila ukweli ni kwamba umeme wa maji bi the cheapest, kumbuka gesi tunanunua, ipo kwetu ila sio yetu, ni ya miwekezaji, ila maji ni yetu, hatununui.

Tukamiishe hilo bwawa haraka iwezekanavyo.
 
Majibu ya Makamba kwenye clip wanaleta maswali zaidi. Tanesco au Makamba mnijibu haya.

Hiyo miaka mitano iliyopita mvua zilikuwa hazinyeshi na kusababisha short circuit?

Je awamu ya tano hapakuwa na upepo?

Hivyo vikombe vimepasuka awamu ya sita?

Hizo nyaya za ubungo substation hazikuwa insulated toka awamu zote, kwanini zilete shoti awamu ya sita na si ya tano?

Ni nani aliplan na kufunga njia za umeme kwa umbali mrefu na kwa kiwango duni tofauti na standards? Hatua gani mtazichukua kwa waliofanya hivyo?

Mwisho, hizo Dola 1b za ukarabati ni balaa tupu.
 

Mkuu uko sahihi wewe sio mjinga, ni mpumbavu…
 
Jamani dah

Ila IPO siku tu wataumbuka na kufa wao na vizazi vyao
 
Na hiyo gas inayohitaji $30 milioni sijui hizo pesa zake wamezipata wapi, tunatakiwa tujue, na kama ni za mkopo zina masharti gani tuambiwe.

How I wish tungekuwa na kiongozi anayetumia akili yake hata kwa dakika moja tu kwa siku.
Beberu Hana tatizo na pesa pesa anyo ilimradi atimize malengo
 
Jamaa liongo liongo sana aisee,kila siku hadithi mpya.
Hapo anamanisha mgao hauishi leo wala kesho.
 
Mradi ulianza kitapeli, Kalemani na JPM walikata miti milioni moja, wakauza na Hela wamekula, nikisema miti, namaanisha Ile ambayo haijawahi kukatwa tangu dunia iumbwe
Waafrika tuna tabu sana. Kuchelewa kwa mradi kuna sababu zake. Diversion iliharibika sababu ya mafuriko. Kwahiyo sio issue ya kuanza kulialia kama vile watoto wasio na wazazi.
Hela imekopwa tutalipa wote, halafu unauita mradi wa Kalemani na JPM? Huu mradi wana siasa wanataka uendeleee kweli?
Mbona kila kitu kimya? Maji yameshaanza kujazwa kwenye bwawa? Kuna nini kinaendelea?
 
This has been well planned....ili mradi tu ule mradi usionekane una manufaa
 
Ujio wa makamba kama waziri hili lilijulikana, 'msoga' haikumaliza mission yake ktk gas na sasa ndio inamalizia kupitia huyu mtu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…