mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
magufuri kaza mwendo tupo nyuma yako, Hii hapo hawajakuta madini kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni maono ya Nyerere. JPM ni mtekelezaji tuMaono ya Rais Magufuli hayana mfanowe. Hakika huyu atatuvusha.
pointMuwakumbuke na Wafanyakazi sasa. Yale madaraja yao yapande kwa wakati. Miaka zaidi ya 5 ya kuwaumiza kwa kisingizio cha kujenga hiyo miradi, inatosha. Na wenyewe wangependa waishi maisha bora kama wengine.
Kazi nzuri sana ila Sasa yasijekuwa Yale ya gesi ya mtwara tuliambiwa gesi ikifika dar itaanza kuzalisha umeme utashuka bei ukabaki stori Sasa kwa uvumilivu wa watanzania tunaomba kweli likikamilika umeme ushuke bei angalao watu wafurahie machungu waliyopitia. Watu tupikie umeme tuachane na mkaa unaondelea kuleta athari kwenye mazingira
Hata akiongozewa mingine mitano, hatakaa atapandishe mishahara wala madaraja. Labda madaraja ya Kigongo kwa sababu maalum.Muwakumbuke na Wafanyakazi sasa. Yale madaraja yao yapande kwa wakati. Miaka zaidi ya 5 ya kuwaumiza kwa kisingizio cha kujenga hiyo miradi, inatosha. Na wenyewe wangependa waishi maisha bora kama wengine.
Muwakumbuke na Wafanyakazi sasa. Yale madaraja yao yapande kwa wakati. Miaka zaidi ya 5 ya kuwaumiza kwa kisingizio cha kujenga hiyo miradi, inatosha. Na wenyewe wangependa waishi maisha bora kama wengine.
Kipaumbele Cha umeme wa maji badala ya Gesi... Ni sawa na kuacha kutumia jiko la Gesi na kuanza kutumia jiko la mkaa....
Gas pekee haiwezi kuwa ndio njia sahihi ya kuzalisha nishati. Kuna upepo, Jua, makaa ya nawe etc. Hata nuclear ikibidi. Tuache kukariri mambo
Nyinyi husapot kila kitu mwisho was siku nchi ni shit hole !!!! Chadema hupingwa kwakua huona mbali ?!?? Hivi tren ya moshi IPO!????Hakuna siku Chadema waliwahi kuiombea mafaniko nchi hii.Siku zote maombi yenu ni kushindwa tu.Badala ya kuomba mradi huu muhimu kwa maendeleo na ustawi wa nchi ufanikiwe na uishe wewe unaomba usiishe. Nina shaka na kiwango chako cha uzalendo. Au dishi litakuwa kimeyumba....
Hata watalii kipindi hiki cha Corona mlisema hawaji mwisho wa siku mkaumbukakaka Leo ni 4/6/2020/ mark my words nakupa miaka mitatu tuombe uhai hakuna pesa kujenga hiyo kitu ma wazungu wameshakataa kitoa pesa tatizo tatizo mnasoma Uhuru na mzalendo !!!??.
Hahaaa wako wapiii???? |
Unawasikiliza wanasiasa,!???pole sanaHata watalii kipindi hiki cha Corona mlisema hawaji mwisho wa siku mkaumbuka
Nyie makamanda uchwara kwa mawazo yenu haya ndio maana hadi leo hamjafanya ukarabati wa makao makuu pale Kinondoni.Utafeli huo kama treni ya moshi no suala LA muda tuuu
drop a comment bro![emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Jr[emoji769]
Asee tena hutaamini macho yako siku mradi wa JNHPP utakapoanza kazi.Roho itakuuma sanaUnawasikiliza wanasiasa,!???pole sana
Nikikwambia walipo utawaloga wewe ni mchawi.Wewe na Mshana Jr mnapaa usiku
Hahaaa wako wapiii????
Nadhani baada ya BOT kushusha riba tarehe 13 may, hela itaongezeka mtaaniMpaka sasa kuna mafanikio makubwa ukilinganisha na awamu 2 (miongo miwili) zilizopita. Na huu mradi ukikamilika, bila shaka hilo tatizo la umeme na mgao usio na kichwa wala miguu utaisha kabisa! Ingawa bado kuna umuhimu wa kutafuta vyanzo vingi zaidi ili kuifikia Tanzania ya kweli ya Viwanda ifikapo hiyo 2025.
All in all, kwenye ujenzi wa Mamiradi Makubwa Makubwa, awamu hii ya 5 imejitahidi sana! Ila ukija kwenye maisha ya Watanzania walio wengi, hakika maisha yamekuwa ni magumu sana kutokana na kukosekana kwa hela mtaani. Kuna umuhimu wa kuulegeza uchumi ili ulete ahueni kwa mwananchi mmoja mmoja. Vyuma havilainiki kabisa.