Mradi wa Kufua Umeme Rufiji (MW 2115) uchimbaji kina cha lango la kuingilia maji kwenye mitambo wakamilika

Mradi wa Kufua Umeme Rufiji (MW 2115) uchimbaji kina cha lango la kuingilia maji kwenye mitambo wakamilika

Mpaka sasa kuna mafanikio makubwa ukilinganisha na awamu 2 (miongo miwili) zilizopita. Na huu mradi ukikamilika, bila shaka hilo tatizo la umeme na mgao usio na kichwa wala miguu utaisha kabisa! Ingawa bado kuna umuhimu wa kutafuta vyanzo vingi zaidi ili kuifikia Tanzania ya kweli ya Viwanda ifikapo hiyo 2025.

All in all, kwenye ujenzi wa Mamiradi Makubwa Makubwa, awamu hii ya 5 imejitahidi sana! Ila ukija kwenye maisha ya Watanzania walio wengi, hakika maisha yamekuwa ni magumu sana kutokana na kukosekana kwa hela mtaani. Kuna umuhimu wa kuulegeza uchumi ili ulete ahueni kwa mwananchi mmoja mmoja. Vyuma havilainiki kabisa.
Uchumi unalegezwaje mkuu?
Ebu tupatie darsa na sisi wengine tufaidike na Uzi wako.
 
m
Hakuna siku Chadema waliwahi kuiombea mafaniko nchi hii.Siku zote maombi yenu ni kushindwa tu.Badala ya kuomba mradi huu muhimu kwa maendeleo na ustawi wa nchi ufanikiwe na uishe wewe unaomba usiishe. Nina shaka na kiwango chako cha uzalendo. Au dishi litakuwa kimeyumba....
Mkuu wengine humu si wa nchi hii. Hivyo usipoteza muda kulumbana nao ni wivu tu unawasumbua.
 
Megawatts 3000 hazitotosha ku-run full fledged industrial economy. Modern industrial economies comes with a lot of automation, mechanization and high use robots.
Viwanda vya cement, metalurgical, copper and gold smelting just to mention few, uses a lot of energy in comparison to industries like food processing.
Cha msingi tu tusibweteke. Uwekezaji kwenye vyanzo vingine kama gas, coal, geo-thermal, wind, solar n.k. lazima uendelee. Bila kusahau strategic project like Mchuchuma and Liganga and last but not the least, Malagarasi Hydro-power. And this is so important bacause most of the power generation sources are on the eastern part of the country.
 
MAJI MNAYO LAKINIII AU MTAOMBA KWA MUNGU BABA AJAZE HILO BWAWA!???
 
Angalau tumeanza kazi, huu nao ni uthubutu kuliko hali ya kuacha vitu kwenye makabrasha tu.
 
Megawatts 3000 hazitotosha ku-run full fledged industrial economy. Modern industrial economies comes with a lot of automation, mechanization and high use robots.
Viwanda vya cement, metalurgical, copper and gold smelting just to mention few, uses a lot of energy in comparison to industries like food processing.
Cha msingi tu tusibweteke. Uwekezaji kwenye vyanzo vingine kama gas, coal, geo-thermal, wind, solar n.k. lazima uendelee. Bila kusahau strategic project like Mchuchuma and Liganga and last but not the least, Malagarasi Hydro-power. And this is so important bacause most of the power generation sources are on the eastern part of the country.
Very positive.
Ushauri mzuri sana na wa kutia moyo.
 
Nyinyi husapot kila kitu mwisho was siku nchi ni shit hole !!!! Chadema hupingwa kwakua huona mbali ?!?? Hivi tren ya moshi IPO!????
Haipo kwasababu rahisi Sanaa ambazo hata treni ya mpanda haikuwepo kwa muda na Sasa inapitika mbona unagusia vitu rahisi Sana kwenye reli hasa hii meter gauge hakishindikani kitu semea SGR kidogo naweza kukuelewa. Narudia nakupa siku 12 tu treni ya Moshi inaendelea.
 
Mpaka sasa kuna mafanikio makubwa ukilinganisha na awamu 2 (miongo miwili) zilizopita. Na huu mradi ukikamilika, bila shaka hilo tatizo la umeme na mgao usio na kichwa wala miguu utaisha kabisa! Ingawa bado kuna umuhimu wa kutafuta vyanzo vingi zaidi ili kuifikia Tanzania ya kweli ya Viwanda ifikapo hiyo 2025.

All in all, kwenye ujenzi wa Mamiradi Makubwa Makubwa, awamu hii ya 5 imejitahidi sana! Ila ukija kwenye maisha ya Watanzania walio wengi, hakika maisha yamekuwa ni magumu sana kutokana na kukosekana kwa hela mtaani. Kuna umuhimu wa kuulegeza uchumi ili ulete ahueni kwa mwananchi mmoja mmoja. Vyuma havilainiki kabisa.
Bei ya umeme itashuka?
Gesi tumeambiwa ni ya mabeberu.
 
Muwakumbuke na Wafanyakazi sasa. Yale madaraja yao yapande kwa wakati. Miaka zaidi ya 5 ya kuwaumiza kwa kisingizio cha kujenga hiyo miradi, inatosha. Na wenyewe wangependa waishi maisha bora kama wengine.
[/QUOTE

Kwa kweli hata hivyo watumishi wa umma wana Roho ngumu sana , yani hawa binadamu ukiwapeleka vitani hata bila chakula watapigana tu.... mana si kwa uvmilivu huo... uzuri mmoja na wao hawajitambui wanaona n sawa tu...
 
Sijakataa hiyo njia mbadala wa kuzalisha umeme... Nimewaza tu kwamba teknolojia ya matumizi ya maji ni ya kizamani na matumizi ya Gesi Ni ya kisasa zaidi...
Uendeshaji ni gharama nafuu kuliko gas na njia nyingine
 
Muwakumbuke na Wafanyakazi sasa. Yale madaraja yao yapande kwa wakati. Miaka zaidi ya 5 ya kuwaumiza kwa kisingizio cha kujenga hiyo miradi, inatosha. Na wenyewe wangependa waishi maisha bora kama wengine.
Kwa awamu hii wasahau, wasubirie akiingia mwingine
 
Huu mradi Rais ajaye ataupiga chini maana ni kazi bure
Miradi mipya na kuitupa ya watangulizi wao bila kuukamilisha ni sehemu ya watawala kutakatishia Kodi zetu,maana kila ajae utamani awe tajiri wa kwanza wa dunia kupitia Kodi zetu
 
Back
Top Bottom